Vifaa vya ujenzi vyapanda bei

Vifaa vya ujenzi vyapanda bei

Ruyama

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2019
Posts
367
Reaction score
563
Nimekosa usingizi yaani nondo mm 12 ilikuwa 20 jana nimekwenda kuulizia lengo ni maandalizi ya ujenzi naambiwa ni elfu 26, hivi kweli tutajenga kwa namna hii material ya ujenzi kupanda Bei?

Aisee mambo ni magumu mnoo zaidi tunavyochukulia, mishahara iko pale pale haijapanda lakini vitu bei juu.
 
Wewe unahangaika na kujenga hapa duniani ni kwako ....

Duniani tunapita bwana ,.....

Kula bia ...

Asikwambie mtu tu tu tu bia tamu ....
 
Wewe unahangaika na kujenga hapa duniani ni kwako ....

Duniani tunapita bwana ,.....

Kula bia ...

Asikwambie mtu tu tu tu bia tamu ....
Sitaki watoto waje kupata shida siku za mbeleni
 
mimi imebidi nikamate bei kwa kuwekeza kwenye maduka zikipanda haziniathiri..... mana nimempa uhuru mwenye duka kutumia hela zangu kwa faida yake.
 
mimi imebidi nikamate bei kwa kuwekeza kwenye maduka zikipanda haziniathiri..... mana nimempa uhuru mwenye duka kutumia hela zangu kwa faida yake.
Asije akakuachia manyoya
 
Nimekosa usingizi yaani nondo mm 12 ilikuwa 20 jana nimekwenda kuulizia lengo ni maandalizi ya ujenzi naambiwa ni elfu 26, hivi kweli tutajenga kwa namna hii material ya ujenzi kupanda Bei? Aisee mambo ni magumu mnoo zaidi tunavyochukulia, mishahara iko pale pale haijapanda lakini vitu bei juu.
Na tozo zimeingia hadi miamala ya kibenki. Yani hata kuuchomoa mshahara wako ambao tayari ulishalambwa kodi nako unakatwa tozo za kiwizi.. wanachojua ku'perfect ni kutuchomoa hela tu
 
unafanya mchezo wa hatari sana
mimi imebidi nikamate bei kwa kuwekeza kwenye maduka zikipanda haziniathiri..... mana nimempa uhuru mwenye duka kutumia hela zangu kwa faida yake.
 
Back
Top Bottom