Chona
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 523
- 360
Wakuu kuna ndugu yangu anatakufungua Butcher ya kisasa Mkoani. Ameniagiza nimtafutie vifaa kwa ajili ya ofisi yake hiyo mpya kwa hapa Dar. Nadhani vifaa kama machine ya kukatia nyama, mizani ya kupimia nadhani nikipata ile inayopima kwa digital, vyuma vya kutundikia nyama (viko kama hook) na vitu vingine maana mie mwenyewe si mtaalamu sana wa vifaa hivyo. Kwa hiyo ninaomba kama kuna mtu anajua duka au mahali ninapoweza kufika na kununua vifaa hivyo anielekeze. Anasema anataka anunue Dar kwasababu huenda ikawa ni bei nafuu kulinganisha na Mkoani kwake lakini pia usafirishaji si tatizo kwake. Kwa yeyote mwenye kujua anijuze tafadhali.