Vifaa made in Israel vyakutwa kwenye Drone za Iran

Puttin anapendwa na wote waliochoka uonevu wa USA na NATO kwahyo Ile kanuni ya adui wa adui Yako ni rafiki Yako inahusika
Ustaadhi kuna time mtu asipopima anaweza sema Marekani na Nato wanaonea wengine ila ukija ukitizama visa vyote ambavyo Marekani na Nato wameingilia hutoona huo uonevu... zaidi utaona ni haki tu... Mataifa ambayo yamepigwa na Bif nations yalikuwa na Viongozi madikteka haswa na waonevu mno wengine chini chini na wengine wazi wazi... ria wao walilia sana kutaka haki na uhuru bila mafanikio na ubaya ilikuwa kama team ya madikteta waliunda kusaidiana... Niulize kila Taifa ambalo lilichapwa nikupe japo hints uone... sometimes ni ushabiki tu kama vile Mtu anafanya maovu and anamsingizia Shetwain so unaweza sema anashirikiana nae huko Shetwain? Mahakamani huwa hakuna hicho kitu.
 
Ustaadhi kuna time mtu asipopima anaweza sema Marekani na Nato wanaonea wengine ila ukija ukitizama visa vyote ambavyo Marekani na Nato wameingilia hutoona huo uonevu... zaidi utaona ni haki tu... Mataifa ambayo yamepigwa na Bif nations yalikuwa na Viongozi madikteka haswa na waonevu mno wengine chini chini na wengine wazi wazi... ria wao walilia sana kutaka haki na uhuru bila mafanikio na ubaya ilikuwa kama team ya madikteta waliunda kusaidiana... Niulize kila Taifa ambalo lilichapwa nikupe japo hints uone... sometimes ni ushabiki tu kama vile Mtu anafanya maovu and anamsingizia Shetwain so unaweza sema anashirikiana nae huko Shetwain? Mahakamani huwa hakuna hicho kitu.
LIBYA
 
Back
Top Bottom