Viettel Telecommunication Company

POULINE

Member
Aug 11, 2014
27
3
Wapendwa; naomba niwaulize, hawa Viettel ni kampuni ya simu tu ama wanafanya nini?

Halafu mishahara yao ikoje?

Halafu maswali ya interview kuhusu distribution & customer care ni kama yapi?

Asanteni.
 
Ni wasumbufu sana, inteview zao huwa hazina mfumo maalum. kw mf. mimi nilifanya online & then nikaitwa oral 2 times ambazo zilihusisha professional na mshahara. kiwango chao ni 400 uwe na degree au chet. hawapo makini
 
Ni wasumbufu sana, inteview zao huwa hazina mfumo maalum. kw mf. mimi nilifanya online & then nikaitwa oral 2 times ambazo zilihusisha professional na mshahara. kiwango chao ni 400 uwe na degree au chet. hawapo makini

Aisee! kumbe!!! basi majanga... nilivyoona maelezo ya kampuni kwamba wana cut across Africa na Asia nikafikiri watakua na mishahara mizuri kumbe hamna lolote
 
Ni kampuni inayoexist na wanalaunch very soon kabla ya July.
Ofisi zao zipo GEPF house, 2nd floor.

Mi ni supplier wao so nawajua vilivyo, sio wababaishaji. ila kwenye maswala ya mshahara sio wazuri may be badae ndo watareview waanza kulipa vizuri.

kuna kazi wametangaza PUBLISHED JOBS wanaajiri tena deadline May 8 2015.
 
Ni kampuni inayoexist na wanalaunch very soon kabla ya July.
Ofisi zao zipo GEPF house, 2nd floor.

Mi ni supplier wao so nawajua vilivyo, sio wababaishaji. ila kwenye maswala ya mshahara sio wazuri may be badae ndo watareview waanza kulipa vizuri.

kuna kazi wametangaza PUBLISHED JOBS wanaajiri tena deadline May 8 2015.

Come on ndugu supplier unaongea nini sasa wewe!!!

Au unataka niseme mi nafanya nao kazi tena level ya management ndo ujue nawafaham vilivyo.

Au mpaka niseme wana mpango wa kulaunch mawasiliano July 2015 kwa maelekezo ya CCM ili chama kizee watumie hiyo kama kete kwenye kampeni ndo ujue ninawahamu hawa Waviettnam.??

Au mpaka niseme huwa wanawakata wafanya kazi wao PAYE na Insurance alafu hawapeleki hizo fedha kwenye taasisi husika (NSSF, LAPF na TRA) ndo ujue nawafahamu hawa matapeli???

Au unataka niseme wafanyakazi wao wanapewa mikataba ya muda mfupi sana ndo ukubali nawajua hawa wahuni???

Au unataka niseme managers wao (waviettnam) wanapenda sana 10% kwa suppliers wao ili wakupe kazi ndo uelewe????

Au unataka niseme wanawanyonya sana waswahili katika mikataba ya kuweka minara yao huko mitaani; watu wanalipwa hadi Tshs 900,000 kwa mwaka kuwakodisha hawa waviettnam maeneo ya kuweka minara.

Au unataka niseme wengi wa hao waviettnam wanafanya kazi hapa nchini bila vibali vya kukaa Tz wala vibali nya kufanya kazi ndo ujue nachokiongea???

Wewe unaongelea nje ya mlango mi naongelea chumbani, tuheshimiane.
Narudia tena hawa ni MATAPELI na WABABAISHAJI tu.
 
Kongi;

Kaka hukuzaliwa ufanye kazi na Viettel. Kama hakulipi ondoka. Usikatishe tamaa wengine. Kuna watu hawana hata ajira, hicho kiasi kidogo wanapokea. Hiyo kampuni inalipa mishahara hiyo wakati hata uzalishaji haijaanza, unadhani pesa wanatoa wapi?
 
Last edited by a moderator:
Kaka hukuzaliwa ufanye kazi na Viettel. Kama hakulipi ondoka. Usikatishe tamaa wengine. Kuna watu hawana hata ajira, hicho kiasi kidogo wanapokea. Hiyo kampuni inalipa mishahara hiyo wakati hata uzalishaji haijaanza, unadhani pesa wanatoa wapi?

Nachoweza kukwambia ni neno POLE tu
 
Kaka hukuzaliwa ufanye kazi na Viettel. Kama hakulipi ondoka. Usikatishe tamaa wengine. Kuna watu hawana hata ajira, hicho kiasi kidogo wanapokea. Hiyo kampuni inalipa mishahara hiyo wakati hata uzalishaji haijaanza, unadhani pesa wanatoa wapi?

hapo ndo ujue wabongo wanataka hela pasipo na kazi.....hii kampuni ni mpya na wala haijaanza uzalishaji km ulivyosema lakini watu wanataka walipwe km wapo tigo au voda....wawaulize mainjinia walioanza voda walikuwa wanalipwa sh ngapi kabla ya makaburu kuondoka?review ya mishahara watakapoanza uzalishaji ni lzm utafanyika tu..........mnao ikimbia sasa mtaikimbilia baadae.
 
Nachoweza kukwambia ni neno POLE tu
Pole mimi mkuu? Pole kwa yule anayetaka kuajiriwa na bado analalamika kuhusu mshahara. Wataka ulipwe kiasi gani unapoajiriwa? unalinganisha na nani? Kwa kazi ipi uliyofanya? Wewe umeajiri hata housegal kwako nyumbanii? na unamlipa kiasi gani?
Halafu ukiona ajira inalipwa sawa kati ya graduate na mtu wa diploma na wewe ni graduate ujue umebugi. Ina maana hiyo sehemu hata mwenye diploma anafanya hiyo kazi, hivyo huhitaji degree ili ku perform.
Acheni hiyo mentality ya mshahara ni mdogo. Ajira katika makampuni ya kigeni siyo huduma ya jamii. Wamekuja kukusanya na si kutapanya. Watu wanatumia pesa zao kuanzisha kampuni Tanzania, lakini wataka ulipwe jinsi utakavyo wewe...
Nikwambie tu, mimi hao Viettel nimewapokea Tanzania. Hata bandiko lao la la ajira la kwanza niliweka mimi, japo watu wakaita ni kampuni fake, wengine wakapata ajira zao, wengine wakaanza kulia.
 
hapo ndo ujue wabongo wanataka hela pasipo na kazi.....hii kampuni ni mpya na wala haijaanza uzalishaji km ulivyosema lakini watu wanataka walipwe km wapo tigo au voda....wawaulize mainjinia walioanza voda walikuwa wanalipwa sh ngapi kabla ya makaburu kuondoka?review ya mishahara watakapoanza uzalishaji ni lzm utafanyika tu..........mnao ikimbia sasa mtaikimbilia baadae.
Wao wanadhani hiyo biashara ni sawa na kufungua duka la jumla...
 
Ni kampuni inayoexist na wanalaunch very soon kabla ya July.
Ofisi zao zipo GEPF house, 2nd floor.

Mi ni supplier wao so nawajua vilivyo, sio wababaishaji. ila kwenye maswala ya mshahara sio wazuri may be badae ndo watareview waanza kulipa vizuri.

kuna kazi wametangaza PUBLISHED JOBS wanaajiri tena deadline May 8 2015.

Mkuu naomba mawasiliano yao niombe kazi ya udereva ajira hakuna mtaani.
 
Hali kama ndio hii serkali ipo wapi na hii kampuni ilipataje vibali kuwekeza nchini
 
Kongi,

Nashukuru kwa maelezo yote hayo mkuu yanayotoka chumbani.

Mimi nimeongelea kwa kidogo ninavyowajua tu kama supplier wao, hayo ya ndani zaidi siyafahamu.

Ila all in all hayo matatizo yote uliyoyaongelea yapo hata kwenye kampuni zinazoexist hapa Tanzania na bado watu wanafanya kazi. nina amini ya kuwa the only way ya kuepukana na haya matatizo ni kujiajiri but kama wewe ni mwajiriwa utakutana na one of the problems ulizozitaja hapo juu tu.

Kwa kuwa kampuni hata operations hazijaanza tusiwajudge sana inawezekana wakianza operations watareview salaries na kuacha hayo magumashi wanayoyafanya, coz consequenses za kutopeleka michango kwenye social security funds na kukwepa kodi ni kubwa kuliko wanavyokwepa na itakuwa wanajua tu. Maswala ya 10% mbona ni kitu cha kawaida in the market jamani? bila 10% nani akupe kazi wkati anajua mwengine atampa tu. ndo jinsi game ilivyo na inabidi tukubaliane nayo tu. sio hao tu, makampuni yote wanafanya hivyo. hap vodacom na tigo ndo balaa zaidi mpaka accountant anakuzingua kukulipa mpaka umpe hela wakati ulishatoa 10% kwa mwingine ulivyopewa kazi, so ni kawaida kabisa na suppliers hatucomplain.

Hao wenye kusaini mikataba kwa laki tisa ni ujinga wao wenyewe, hata mimi kama mfanya biashara lazima nitafute unafuu nitakunyonya mpaka damu ya mwisho. All in all, siwatetei wala nini ila najaribu kuangalia kama je, ni kampuni hiyo tu inafanya hayo? na je mtu kama anatafuta ajira hata ya kutokea tu ili apate access ya kazi nyingine ndo asiende huko kwa vigezo hivyo? hapa dawa ni kujiajiri tu, but unajiajiri una capital? lazima uanze na kidogo ili upate kikubwa, wacha watu wafanye kazi, na wewe kama unafanya kazi hapo na unaona hayo madudu na bado upo tu ina maana umeridhika, usikatishe wenzako tamaa.

Ngoja mie niende nikapewe deal lingine, as long as hawaniaffect mie akuu nitadeal nao tu.


Sweetdada
 
Jama amewapa uhalisia wa ndani cha ajabu anapopolewa kama maembe yaliyoiva mtini. Hiyo kampuni Ina shareholders kibao viongozi wa juu serikalini. Na kama mdau aliyechangia huko juu kuhusu kuzindua July ni kutaka kuitumia kikampeni ili hela za kampeni ziwanufaishe wawekezaji wake ambao ndo wale wale......

Nadhani mnawajua
 
Back
Top Bottom