Come on ndugu supplier unaongea nini sasa wewe!!!
Au unataka niseme mi nafanya nao kazi tena level ya management ndo ujue nawafaham vilivyo.
Au mpaka niseme wana mpango wa kulaunch mawasiliano July 2015 kwa maelekezo ya CCM ili chama kizee watumie hiyo kama kete kwenye kampeni ndo ujue ninawahamu hawa Waviettnam.??
Au mpaka niseme huwa wanawakata wafanya kazi wao PAYE na Insurance alafu hawapeleki hizo fedha kwenye taasisi husika (NSSF, LAPF na TRA) ndo ujue nawafahamu hawa matapeli???
Au unataka niseme wafanyakazi wao wanapewa mikataba ya muda mfupi sana ndo ukubali nawajua hawa wahuni???
Au unataka niseme managers wao (waviettnam) wanapenda sana 10% kwa suppliers wao ili wakupe kazi ndo uelewe????
Au unataka niseme wanawanyonya sana waswahili katika mikataba ya kuweka minara yao huko mitaani; watu wanalipwa hadi Tshs 900,000 kwa mwaka kuwakodisha hawa waviettnam maeneo ya kuweka minara.
Au unataka niseme wengi wa hao waviettnam wanafanya kazi hapa nchini bila vibali vya kukaa Tz wala vibali nya kufanya kazi ndo ujue nachokiongea???
Wewe unaongelea nje ya mlango mi naongelea chumbani, tuheshimiane.
Narudia tena hawa ni MATAPELI na WABABAISHAJI tu.
Come on ndugu supplier unaongea nini sasa wewe!!!
Au unataka niseme mi nafanya nao kazi tena level ya management ndo ujue nawafaham vilivyo.
Au mpaka niseme wana mpango wa kulaunch mawasiliano July 2015 kwa maelekezo ya CCM ili chama kizee watumie hiyo kama kete kwenye kampeni ndo ujue ninawahamu hawa Waviettnam.??
Au mpaka niseme huwa wanawakata wafanya kazi wao PAYE na Insurance alafu hawapeleki hizo fedha kwenye taasisi husika (NSSF, LAPF na TRA) ndo ujue nawafahamu hawa matapeli???
Au unataka niseme wafanyakazi wao wanapewa mikataba ya muda mfupi sana ndo ukubali nawajua hawa wahuni???
Au unataka niseme managers wao (waviettnam) wanapenda sana 10% kwa suppliers wao ili wakupe kazi ndo uelewe????
Au unataka niseme wanawanyonya sana waswahili katika mikataba ya kuweka minara yao huko mitaani; watu wanalipwa hadi Tshs 900,000 kwa mwaka kuwakodisha hawa waviettnam maeneo ya kuweka minara.
Au unataka niseme wengi wa hao waviettnam wanafanya kazi hapa nchini bila vibali vya kukaa Tz wala vibali nya kufanya kazi ndo ujue nachokiongea???
Wewe unaongelea nje ya mlango mi naongelea chumbani, tuheshimiane.
Narudia tena hawa ni MATAPELI na WABABAISHAJI tu.