manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
Kuna hivi vidonge vinaitwa PREGNANT CARE kwa ajili ya kina mama wajawazito, je kuna yeyote mwenye taarifa zake hasa kama vinaleta madhara kwa mtumiaji, ama vinasaidia kweli ama ni biashara tu maana vimezagaa sana kwenye maphamarcy na inasemekana si mpaka mama awe na matatizo ndiyo atumie anaweza tumia tu kwa ajili ya kupata madini kama chuma,magnesium nk.
Kwa mwenye uzoefu navyo please taarifa.
Kwa mwenye uzoefu navyo please taarifa.