Vidole vya mwanamke

Vidole vya mwanamke

bbwaoy

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2015
Posts
466
Reaction score
468
Hivi ulishawai kupenda vitu flani flani kutoka kwa mwanamke awe wako au sio wako au mchepuko vyovyote vile ila awe mwanamke... Hakuna kitu kina nivutia kwa mwanamke kama vidole vyake hasa vya mikono. Naweza kuvinyonya hata lisaa lizima.

We una penda nn?
 
Mm kwapa lake afu awe hajanyoa mwaka na pia ajaoga miezi 6..baada ya kusema hayo usisahau kumpa kura lowasa
 
Nilipenda nywele za bint mmoja alivyokua amesuka ikabid nimuombe asuke tena kwa gharama zangu. Kilichofuata saiv mm na yy ni marafiki wa kufa na kuzikana........holla kwako vicky manywele
 
Umenikumbusha 90's nikiwa shule ya msingi. Kunadada mmoja alikuwa anavidole ambavyo kila nikiviangalia vilikuwa vinanivutia sana
 
Mm kwapa lake afu awe hajanyoa mwaka na pia ajaoga miezi 6..baada ya kusema hayo usisahau kumpa kura lowasa

Mimi Edward Lowassa, Mgombea Urais wa CHADEMA, nakuomba kesho Oktoba 25 uwahi saa 12 Asubuhi kituoni na ukatupigie kura. Chagua MABADILIKO, Mtumie na Mwingine.
 
wamekata matangazo ya Lowasa kote kote..wameweka ya gufuli..... haina noumer tulishamua
 
Back
Top Bottom