Videos:. Lau Masha katika kampeni Nyamagana

Videos:. Lau Masha katika kampeni Nyamagana

Huyu jamaa anaonekana kama mhuni fulani vile, au psychology yangu imeanza kuni-mislead nini?
 


Huo ni mkutano aliodandia kwa JK, atoe video ya mikutano yake uone idadi ya watu inavyokatisha tamaa na watu wanavyokuwa ktk mikao ya kifiesta huku wanasubiri ule wimbo wa alajiii alaajiii kududundukudundukundundu... ili wakate viuno halafu wapande usafiri bure kurudi makwao. Kifupi huyu jamaa jumapili saa 4 asubuhi biashara itakuwa kwishnee
 
Last edited by a moderator:
huo ni mkutano aliodandia kwa jk, atoe video ya mikutano yake uone idadi ya watu inavyokatisha tamaa na watu wanavyokuwa ktk mikao ya kifiesta huku wanasubiri ule wimbo wa alajiii alaajiii kududundukudundukundundu... Ili wakate viuno halafu wapande usafiri bure kurudi makwao. Kifupi huyu jamaa jumapili saa 4 asubuhi biashara itakuwa kwishnee

kwa hiyo unamaana jk anakubalika mwanza ila mwasha ndio hakubaliki? Au sijui unamaana gani????
 
Hana jipya huyo ni muhuni wa Rose Garden na rafiki yake Patrick Magehema. Waziri anakunya pombe grocery mpaka saa tisa na nusu usiku na kutoka hapo anaendesha gari kuelekea nyumbani?, ndiye anayeongoza wizara nyeti ya mambo ya ndani.
 
You can't keep a good man down. He may be filthy but he definitely ain't guilty. Mwacheni Lau Masha apete.
 
hivi nchi imekosa wa kuiendesha mpaka mtu kama huyu anapata nafasi ya kuongoza? kwani wana jf nipeni hali halisi ya mwanza ilivo.. kwani ikoje jamani? nambienikwa uundani jamani
 
Back
Top Bottom