Mojawapo ya vilevi hatari zaidi duniani, kisaidizi katika kuharibu mahusiano, ndoa, uzalishaji, afya na husababisha mawazo.
Nilikuwa kwenye discussion leo kutoa mawazo yangu juu ya jambo hili kweli, na nakumbuka hii quote maarufu ya Salahuddin,
"Ikiwa unataka kuharibu taifa lolote bila vita, ifanye jamii ione uzinzi au uchi(kutojistiri) ni jambo la kawaida ."
Na jambo hili limeathiri jamii yetu kwa ujumla na kwa kiasi kikubwaaa.