Video: wazee wa protocal hapa

Video: wazee wa protocal hapa

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,513
Reaction score
8,276
Tazama video changia mawazo yako. Yanayohusu protocal
 
naona jamaa kadinda kukaa siti za nyuma hahhaa

protokali zingine lazima zivunjwe kulinda hadhi
 
mme wa malkia ndo aliendesha gari!
 
Ehh ndio.

Raisi no moja
Unaanzaje kukaa nyuma kwa mfano??
[emoji1] [emoji1]

Jamaa wamejaribu kumsisitiza akamaanisha alichokitaka kwa kukataa kabisa.wapi hapa nikae???, aaaah frank acha matani basi mimi hapa sikai.
 
Hapo Obama amevuruga protocol maana boss akai mbele ni target kubwa sana ,inaonekana walikuwa ndani ya Queen palace ndio maana hakuna motorcade..
 
Obama alipomkuta Malkia kwenye mlango wa nyuma kulia yeye akaamua kuzunguka upande mwingine. Wakati anajiandaa kuingia upande wa kushoto akamuona malkia anakuja ule upande wa kushito, kwani huu upande wa kulia tayari malkia alijua amemoisha Michel Obama.
Baada ya kuona Michel ameshaingia halafu Malkia anakuja ndipo Obama akasita kuingia, ndipo yule jamaa pale mlangoni alipomuelekeza apande mbele...the women wanted to be alone at the back na ukichukulia gari ilikua ikiendeshwa na sijui mtoto/mume wa malkia.
Hapo hapakua na suala la Obama kugoma wala nini.
 
Back
Top Bottom