Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,440
- 1,962
Polisa kajibu vizuri sana. Mawakili wanajidhania wao ni kila kitu!
Ndio na anajua ukweli.... walize serikal.. kesi ngaoi walikuwa nazo against lissu lakin lissy kawashinda?Huyu Lisu anajifanya mjuaji huku hamna kitu!
Ni wewe kweli?? Au kuna mtu kadukua account yako???Inatakiwa wawe wanapigwa msasa wa masomo ya sheria kila baada ya miezi sita, wanafanya kazi kwa mazoea ila wengi sheria hawazijui, hao walikuwa wanajiuma uma tu.
Hamna lolote zaidi ya makelele. Mbona hili limemshinda kwa kuwa anajua ukweli halafu anadanganya wananchi!Ndio na anajua ukweli.... walize serikal.. kesi ngaoi walikuwa nazo against lissu lakin lissy kawashinda?
Hapo hiv nani kamshinda mwenzie...? Nani anamumunya maneno?Hamna lolote zaidi ya makelele. Mbona hili limemshinda kwa kuwa anajua ukweli halafu anadanganya wananchi!
Tofautishan kati ya kumung'unya maneno na kuongea kwa busara. Niewapenda sana polisi hao kwani wao wala hawakuwa na mihemko. Waliongea kwa busara na kumchukua mtuhumiwa wao na kuondoka nao as yule mtuhumuiwa akidhani atasaidiwa na kia Lisu Thubutu! Wanyonge wangapi wanahitaji msaada wa kisheria wala hatujawaona wakijitokeza?!??! Wanajitokeza watakapoona watapata faida kama si ya kipesa basi ya kisiasa. Eti na sisi tunawashanglia! Aibu kabisa!Hapo hiv nani kamshinda mwenzie...? Nani anamumunya maneno?
asa pale hebu niambie cha maana! Polisi walisimamia na kutekeleza sheria sasa yeye alifanya nini pale?Zombi Toka lini akaona
Ndio kusema kuwa lissu anaongea sababu ya mihemko...? No way man...Tofautishan kati ya kumung'unya maneno na kuongea kwa busara. Niewapenda sana polisi hao kwani wao wala hawakuwa na mihemko. Waliongea kwa busara na kumchukua mtuhumiwa wao na kuondoka nao as yule mtuhumuiwa akidhani atasaidiwa na kia Lisu Thubutu! Wanyonge wangapi wanahitaji msaada wa kisheria wala hatujawaona wakijitokeza?!??! Wanajitokeza watakapoona watapata faida kama si ya kipesa basi ya kisiasa. Eti na sisi tunawashanglia! Aibu kabisa!
DahNilijua ni Futuhi,kumbe wako kisutu.
Hahah nimecheka kuona "azonto"Wangejaribu waone anavyowachezesha Azonto mahakamani.
Hivi ina maana alienda kumkamata bila kujua kosa? Maana naona wamebishana muda mrefu wakati ilikuwa simple tu kumwambia nakukamata kwa kosa moja mbili tatu...habari imekwishaJapo baadae askari aliondoka na mtuhumiwa wake. Lakn nafkiri Tundu lissu alitaka kumpima askari kama anajua anachokifanya.. Japo hata yeye alijua kwamba huyo mteja wake lazma akamatwe...
Ila katia aibu aisee
Hata lisu alijua kuwa mteja wake lazima akamatwe.... point ilikuwa ni ndogo sana..... kumtajia mtu kosa wanalomkamatiaTofautishan kati ya kumung'unya maneno na kuongea kwa busara. Niewapenda sana polisi hao kwani wao wala hawakuwa na mihemko. Waliongea kwa busara na kumchukua mtuhumiwa wao na kuondoka nao as yule mtuhumuiwa akidhani atasaidiwa na kia Lisu Thubutu! Wanyonge wangapi wanahitaji msaada wa kisheria wala hatujawaona wakijitokeza?!??! Wanajitokeza watakapoona watapata faida kama si ya kipesa basi ya kisiasa. Eti na sisi tunawashanglia! Aibu kabisa!
Polisi walio wengi wanaenda kimazoea hasa kwakuwa imejulikana kuwa watz wengi hawajui sheria...Hivi inamaana askari alienda kumkamata bila.kujua kosa? Maana naona wamebishana muda mrefu wakati ilikuwa simple tu namkamata kwa kosa moja mbili tatu...habari imekwisha
Huyo anayeburutwa siyo mteja wa Lisu.Ma hawa kina Tundu Lisu wanawadanganya wananchi huku wakijua kabisa ukweli. Mbona kijana kapelekwa huku wakishuhudia. Sasa utakuta wengine walioshikwa akili zao humu ndani ooh Sijui Lisu kafanya nini sijaona cha maana chochote alichokifanya!
Bila kukitoa chama cha mapinduzi wananchi wataendelea kuteseka sana,.Polisi walio wengi wanaenda kimazoea hasa kwakuwa imejulikana kuwa watz wengi hawajui sheria...
Hapo usikute kwakuwa state attorney amempa amri kwamba mtuhumiwa atakapoachiwa anatakiwa kukanatwa tena..
Sasa poti hapo kakurupuka yawezekana hata hakujua offence iliyokuwa inamkabili awali kabla ya kuachiwa