Wakurogwa usirogwe kudanganya tena dhidi ya ushahidi huu muhimu. 1. Mwekahazina wako amekiri kambi ipo. 2. Kijana aliyekuwa kambini ametuonyesha kambi na kadi yake ya chama chako.Hii imetengenezwa,zengwe hilo.Huyo jamaa ni cdm damu na anaeneza uzushi!!Jamani tuache mambo ya ushabiki haya mambo yanayoonekana hayapendwi au kuonekana yanatisha kumbe baadhi ya watu ndiyo wanayapenda hii ni hatari
Ndugu yangu utawala umeshafitinika hakuna msaada kimbia haraka au funga mdomo wako.
Maisha ni magumu wenye madaraka wamepanga kumwaga damu ili washinde by all means. lakini kumbuka MUNGU yupo daima kwenye kweli na haki