Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Sasa hapa tuseme nini? Taifa kwanza au chama kwanza. Taifa lililofisika kimawazo huwaka chama kwanza. Hii ni Hatari sana.
sasa hapo umemchanganya nani? Au umejichora tu maana wajanja wameshaelewa kwamba ni video ya kupikwa. Ni pandikizintu na halina mashiko.Yote hiyo ni kuwachanganya watu kama wewe msijue imerekodiwa wapi na lini kalagabaho..
Yakupikwa wakati mbakaji mwenzenu amekiri.sasa hapo umemchanganya nani? Au umejichora tu maana wajanja wameshaelewa kwamba ni video ya kupikwa. Ni pandikizintu na halina mashiko.
Tunakoelekea ni kubaya hali hii isipodhibitiwa Tanzania haitatawalika.
tumuombe mungu hali mbaya