pascaldaudi
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 534
- 96
E bwana hii habari noma, mie nilijua tu tangu mwanzo huyo kijana atakuwa amemwagia na wana CCM sasa hii imekula kwao wana CCM na Nape wao aliyeanza kushutu eti Dr feki....!!
Ndio maana kajitokeza kasema ataogopa hadi lini.Huyu jamaa anatakiwa akasaidie polisi au tume maalum ya kuchuguza hii jambo
<br />Hali ni mbaya sana. Mungu atunusuru. Lakini hili wimbi la wahindi, waarabu kujificha ccm tunalichukuliaje?
Nawewe mgumu kuelewa! husikii anasema yeye ni wa tarime,na ameletwa na ccm kufanya umafia? na Tarime ndiko kwenye wa jaluo.Ila inaonyesha anayehoji hakujua awali kuwa ni wa tarime,alidhani ni wa igunga.CCM WANAHATARISHA AMANI ya Taifa.Kwa hali ya kawaida tindikali haipatikani kirahisi mtaani,mara nyingi tumeshuhudia ccm wakiitumia kuwaadhibu watuhuyu mjaluo wa kenya na igunga wapi na wapi?
<br /><b><font size="2"><font color="#0000ff">aaah tulipo napajua, tunakokwenda sikujui</font></font></b>