Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,163
- 22,739
Haya maneno ya kusema Waislamu hawapo organized na ni wanafiki si sawa. Tena anaongea Sheikh Mkubwa kama huyu na Maarufu Duniani. Maana yake nini?
View attachment 3342874
Webabu Ritz Adiosamigo gTurn adriz huyu Sheikh avuliwe usheikh wake au apongezwe. Maan anaanza kujisahau na kuonesha rangi yake halisi.
Haya maneno ya kusema Waislamu hawapo organized na ni wanafiki si sawa. Tena anaongea Sheikh Mkubwa kama huyu na Maarufu Duniani. Maana yake nini?
View attachment 3342874
Webabu Ritz Adiosamigo gTurn adriz huyu Sheikh avuliwe usheikh wake au apongezwe. Maan anaanza kujisahau na kuonesha rangi yake halisi.
Huyu ni shekhe kweli? Akiwa anatukana wakristu na watu wanaohoji baadhi ya mambo, anaonekana wa kwenu. Akitoa maswali upande wenu mnataka kumchapa viboko.
Dini sio vita. Tuchukuliane taratibu. Tutafika tu
Tatizo lake anadhani Uislam ni majina hao alio wataja nani kawahi kujenga Masjid ambayo unaweza kusema huo ni Masjid kweli. Nani anasaidia masikini Uislam na show off wapi na wapi.Haya maneno ya kusema Waislamu hawapo organized na ni wanafiki si sawa. Tena anaongea Sheikh Mkubwa kama huyu na Maarufu Duniani. Maana yake nini?
View attachment 3342874
Webabu Ritz Adiosamigo gTurn adriz huyu Sheikh avuliwe usheikh wake au apongezwe. Maan anaanza kujisahau na kuonesha rangi yake halisi.
Ameongea point ukweli mchungu ila ni ukweli hakuna uongo aliosema katika yote aliyosema amesema kwa ushahidi na fact km unataka kumpinga mpinge kwa fact na ushahidi, alichosahau ni kile kitendo cha kwenda kutupa mawe kwenye jiwe kubwa tu ndio amesahau kua wanaendaga dunia nzimahuyu Sheikh avuliwe usheikh wake au apongezwe. Maan anaanza kujisahau na kuonesha rangi yake halisi.
Tatizo lake anadhani Uislam ni majina hao alio wataja nani kawahi kujenga Masjid ambayo unaweza kusema huo ni Masjid kweli. Nani anasaidia masikini Uislam na show off wapi na wapi.
Hao sijui kama wanasali kwenye Masjid salaa 5? Mlio wa ona hebu tuambieni ukweli wao.
Eti wakristo wako pamoja hahaha sijui huyu aliwahi kufika Europe akawaona walivyo au kule USA
Kumgonga mawe shetani?Ameongea point ukweli mchungu ila ni ukweli hakuna uongo aliosema katika yote aliyosema amesema kwa ushahidi na fact km unataka kumpinga mpinge kwa fact na ushahidi, alichosahau ni kile kitendo cha kwenda kutupa mawe kwenye jiwe kubwa tu ndio amesahau kua wanaendaga dunia nzima
Ukweli unaumaMjinga huyu. Atachapwa viboko. Ana matusi na dharau kwa uislamu ambao ndo unamlea na kumpa kula. Hovyo sana huyu bwege
Sijui mimi waulize wenyeweKungonga mawe shetani?
Sijui mimi waulize wenyewe
Sawa dogo nilicho ongea mimi nimeuliza sababu sababu siwajui kwa karibu lakini sijawakosea. Wapi nilipo wakoseaWeeeeee... Mtake radhi mzee bakhresa. Huyu ana thwawab nyingi sana amefanya makubwa huwez jifananisha naye hata theluthi. Amejenga misikiti mingi, misaada ametoa sana. Hata GSM na Mo Dewji. Hawa ni Waislamu hasa hasa siyo kama wewe njaa. Sala 5 wanaswali na wana misikiti mpaka makazini mwao. We dogo angalia sana
Sawa dogo nilicho ongea mimi nimeuliza sababu sababu siwajui kwa karibu lakini sijawakosea. Wapi nilipo wakosea
Hapo inategemea tafsiri ya organised kwakke ni ipi.
Kama swala na hijja zinaendelea ni organised tosha
Kama anakusudia kuwa na matamko na waraka , binafsi sijawahi ona faida ya waraka.waraka ulizuia bandari kubinafsishwa , Na hakuna kilichozuilika.DP wako bandarini
Inabaki ni mtazamo wake
Anawakilisha akili za wana CCM wote kama mwijakuHaya maneno ya kusema Waislamu hawapo organized na ni wanafiki si sawa. Tena anaongea Sheikh Mkubwa kama huyu na Maarufu Duniani. Maana yake nini?
View attachment 3342874
Webabu Ritz Adiosamigo gTurn adriz huyu Sheikh avuliwe usheikh wake au apongezwe. Maan anaanza kujisahau na kuonesha rangi yake halisi.
So Mwijaku CCMAnawakilisha akili za wana CCM wote kama mwijaku
Hoja yq kuhangaika na mpira ni tanzania tu au dunia nzima? Na uliza kwa niaba🤣Haya maneno ya kusema Waislamu hawapo organized na ni wanafiki si sawa. Tena anaongea Sheikh Mkubwa kama huyu na Maarufu Duniani. Maana yake nini?
View attachment 3342874
Webabu Ritz Adiosamigo gTurn adriz huyu Sheikh avuliwe usheikh wake au apongezwe. Maan anaanza kujisahau na kuonesha rangi yake halisi.
Hahaha huyo Mohammed Dewj basi kama hujui yule kaka yake Aziz ndio ananikaribia umri sio wewe Kenge.Ndo muwe mnauliza kwa sisi wa miaka mingi. Nyie Gen Z mna mambo mengi ya kujifunza from Us.