Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Katika mahojiano kupitia kituo cha Startv Lazaro Nyalandu akihojiwa na mwanahabari nguli Aloyce Nyanda amesisitiza kuwa katika kinyamg'anyiro cha kura za maoni kupata fursa kuiwakilisha Chadema alimshinda Lissu kwa kupata kura 30.Amesema mfumo wa upigaji kura Chadema katika kamati kuu unampa fursa kila mjumbe kupiga kura tatu na wagombea wakikuwa Saba na yeye kuibuka kidedea kwa kupata kura 30.
Katika mahojiano kupitia kituo cha Startv Lazaro Nyalandu akihojiwa na mwanahabari nguli Aloyce Nyanda amesisitiza kuwa katika kinyamg'anyiro cha kura za maoni kupata fursa kuiwakilisha Chadema alimshinda Lissu kwa kupata kura 30.Amesema mfumo wa upigaji kura Chadema katika kamati kuu unampa fursa kila mjumbe kupiga kura tatu na wagombea wakikuwa Saba na yeye kuibuka kidedea kwa kupata kura 30.