Kinachonishangaza ni kwamba badala ya kuijadili video mnajadili team za watu.Utagundua karibu wote wanaoisema vibaya hii video ni wale waliojaa kwenye ile timu ya kule na kwa upande wanaoisifia kupitiliza utagundua ni wa timu ile nyingine.
Jadilini video sio team
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.