VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
12,279
Reaction score
23,437
Wakalimani na watafsiri wa viongozi baadhi ya maneno ya kingereza wanatudanganya sana sijui kwa faida ya nani, sipati picha kifaransa kama wanasema kweli!

Tu assume jamaa alipitiwa labda hakusikia vizuri, lakini je; aliyatoa wapi Yale maneno aliyotuongopea?



Your browser is not able to display this video.
 
Huyo ameshazoea kuongopa toka huyo ninja akiwa hai.
Kiongozi anaweza kusema "H.E John Magufuli congratulation for being elected" mkarimani alivyo mnafiki utasikia "Hongera sana Mheshimiwa Rais Magufuli kwa ushindi wa kishindo mitano tena"

Mtzji wao sasa (wajinga ambao ni wengi) sio kwa shangwe watakazozitoa.
 
kwa aina hii ya watafsiri bila shaka hata mikataba mingi tunaingizwa cha kike.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndivyo hivyo ilivyo. Wakalimani wengi wa kiswahili hawana concentration na matokeo yake wanatuingiza chakani. Mpaka wakati mwingine kuwafanya wahusika kutia saini mikataba mibovu.[emoji120]
 
mpaka alazwe kwenye nyumba yake ya milele tutayaona mengi.......halafu na hii kolona....sio corona kwa sasa......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…