Bange bwana!
[video=youtube_share;eYMMOCwq74Q]http://youtu.be/eYMMOCwq74Q[/video]
Hii naona ya Iringa.
Hii naona ya Iringa.
We mjinga kweli! hivi tokea lini Iringa kukawa na minazi? Au huja iangalia hiyo clip vizuri? mmezoea kupinga kila kitu hata ukweli. Hadi mna kwenda kaburini 2015 wakati mwenyekiti wa tume ya uchaguzi atakapo kuwa ana tangaza mshindi mtakuwa mnapinga tu..