Video memory ni RAM inayotumiwa na graphics card sio memory kwenye harddrive.
Kama laptop yako haina dedicated graphics card, jaribu kuingia BIOS wakati PC inaboot, kisha tafuta sehemu ya shared video memory labda unaweza kuongeza.
Hiyo issue haihusiana kabisa na mambo ya BIOS ila inahusiana na color display ya machine husika hiyo mashine yako inawezekana ni 32 bit na hizo game zinahitaji colour display ya 64 bit ndio maana inakuletea hizo error game nyingi za sasa hivi zinahitaji bit za kuanzia 32 na kuendelea sio kama game za zamani za kina mario ambazo zilikuwa hadi 8bit.
Nope, PC yake haina video memory ya kutosha. Kwenye BIOS unaweza ukabadilisha RAM kiasi gani kinatumika kwa ajili ya video.
Ingekuwa 64Bit ingemwambia hivyo plus hakuna GTA3 ya 64 Bit.
So kwanza hakikisha unazo more than 12MB za video memory, ingia BIOS au ingia DirectX (Start->Run->type dxdiag->nenda sehemu ya display, angalia una memory kiasi gani)
Kama unayo basi jaribu kuapdate display drivers(website ya waliotengeneza laptop) na DirectX, pia funga program zengine.
U need to update ur graphics card,thats it,the problem is solvednki open gta3 na some of games kwenye my laptop napata error message inasema you need 12mb video memory, but kwenye disc c na d kuna more than one gb free memory, nni tatizo na nifanyeje?
Laptop na video game haviendi babu... PC games, haswa hizi mpyampya zinafaa zaidi kuchezwa kwenye desktop na si laptop. Upgrade ya vitu kwenye laptop ni aghali kuliko ya desktop, na pahali pengine haiwezekani kabisa. Pamoja na kwamba laptops nyingi mpya zina spec kubwa tu kwenye processor na ram, lakini inapokuja swala la video memory hapa desktop ndipo zinatofautiana. Ni kawaida kukuta desktop ya zamani kidogo inaplay games better kuliko laptop mpya kutokana na kuwa na graphics card yenye performance nzuri kuliko ya laptop mpya.