VIDEO: Mbowe-CHADEMA hatuna mgogoro.

VIDEO: Mbowe-CHADEMA hatuna mgogoro.

Pengine alimaanisha CHADEMA kuna mgogoro lakini chama kinao uwezo wa kutatua, na watatatua? Maana kwa vyoyote vile kuna makundi yanayokinzana ndani ya chama.
 
inanikumbusha rafiki yangu kipenzi ....... AL-SAHAF sitakuja kumsahau na wala historia haitamsahau!
mabomu yanalipuka nyuma yake na tuiokuwa tukiangalia TV tunaona yeye alikuwa akikana kwa nguvu zote!
 
AMEKWEPA KIKUBWA KUZUNGUMZIA KINACHOENDELEA......Ametumia "CCM-STYLE"
 
Kumbe sasa ndo nimegundua hivi vyama viko ndani cha culture za kiafrika.kuna mahali nashindwa kutofautisha CCM na CHADEMA.
 
Natoka Kigoma... Nimeaga kwetu... Nitakufa kwa amri ya Mungu... Siogopi kufa. ..Iwapo kifo changu kitatokana na mkono wa mtu, sidhani kama kwa mtu huyo kama hata panya atabaki nyumbani kwao. (Zotto Kabwe - Mbunge Wa Kigoma Kas 2012).
 
Haya yooooote kwangu mm ni ishara ya nguvu ya DR SLAA tz. Anatafutwa kwa kila njia.
LONG LIVE DR SLAA
 
Back
Top Bottom