Nope; nimesikiliza vizuri tu na najua anazungumzia la Karatu lakini na hilo ndilo nalizungumzia mimi. Kwa sababu kama ni tofauti za misimamo tu na mitazamo kwanini wamesimamisha uongozi?
Pengine alimaanisha CHADEMA kuna mgogoro lakini chama kinao uwezo wa kutatua, na watatatua? Maana kwa vyoyote vile kuna makundi yanayokinzana ndani ya chama.
inanikumbusha rafiki yangu kipenzi ....... AL-SAHAF sitakuja kumsahau na wala historia haitamsahau!
mabomu yanalipuka nyuma yake na tuiokuwa tukiangalia TV tunaona yeye alikuwa akikana kwa nguvu zote!
Natoka Kigoma... Nimeaga kwetu... Nitakufa kwa amri ya Mungu... Siogopi kufa. ..Iwapo kifo changu kitatokana na mkono wa mtu, sidhani kama kwa mtu huyo kama hata panya atabaki nyumbani kwao. (Zotto Kabwe - Mbunge Wa Kigoma Kas 2012).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.