chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,871
Ndugu zangu naomba mnipe ufafanuzi wa hizi siasa za Tz na watanzania waishio nje,Raisi K aliwaomba watanzaia waje Tz kujenga nk,alinifuahisha zaidi alipotoa mfano hai wa nchi ya Israel ilivyojengwa na waiziraili waishio nje ya Israeli...
Watanzania wanaoishi nje ya wengi waliwekeza wakati wa Kikwete sasa wanataka
kunyanga´anywa walichowekeza....je hii ni haki, je Tanzania hakuna siasa ya kuaminika,je ni chuki,je ni visasi, je........?
Sikiliza vizuri maneno ya Kikwete halafu toa mawazo yako
Tusaidiane kimawazo,,,
Watanzania wanaoishi nje ya wengi waliwekeza wakati wa Kikwete sasa wanataka
kunyanga´anywa walichowekeza....je hii ni haki, je Tanzania hakuna siasa ya kuaminika,je ni chuki,je ni visasi, je........?
Sikiliza vizuri maneno ya Kikwete halafu toa mawazo yako
Tusaidiane kimawazo,,,