The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,479
- 6,764
Video hapo chini ikimuonesha kiongozi mkuu wa kundi la Palestina Hamas Ismail Haniyeh
akipokea kwa mara ya kwanza taarifa za vifo za vijana wake watatu Hazem, Mohammed na Amir pamoja na wajukuu zake wanne Mona, Amal, Khaled and Razan.
Sauti inasikika ikitoa ujumbe kwa Haniyeh ambaye alikuwa ziarani hospital Qatar kuwatembelea wapalestina waliojeruhiwa vijana wako watatu na wajukuu zako wanne wameuwawa.
Haniyeh akaonekana kidogo na mshtuko alipopata habari na kujikaza na kubaki mkakamavu kabla ya taratib kutembea kutoka kwenye chumba na Kusema Allah azilaze roho zao mahali pema.
Akaulizwa na msaidizi wake kama wanaweza kukatisha ziara hiyo ya kutembelea wagonjwa? Haniyeh kwa ukakamavu akajibu hapana na kwa nini wakatishe akasema waendelee.
Baadaye alitoa kauli kupitia Aljazeera kwa kumshukuru Allah kwa kumpa heshima kupitia vifo vya vijana wake na vijukuu.
Kiongozi huyo mkuu wa Hamas aliendelea kusema madogo wangu wametunukiwa hii heshima. Walibaki na watu wetu wapalestina Gaza, hawakuondoka na kukimbia. Damu za madogo wangu siyo za thamani sana kuliko damu za watu wetu.
Ismail Haniyeh aliendelea kuiponda Israel eti inaendeshwa na roho ya kisasi akidai ameshapoteza ndugu na wanafamilia 60 tangu hii vita ianze.
The terror leader hit out at Israel, stating they are 'driven by the spirit of revenge' as he claimed around 60 members of his family have been killed since the start of the war.
akipokea kwa mara ya kwanza taarifa za vifo za vijana wake watatu Hazem, Mohammed na Amir pamoja na wajukuu zake wanne Mona, Amal, Khaled and Razan.
Sauti inasikika ikitoa ujumbe kwa Haniyeh ambaye alikuwa ziarani hospital Qatar kuwatembelea wapalestina waliojeruhiwa vijana wako watatu na wajukuu zako wanne wameuwawa.
Haniyeh akaonekana kidogo na mshtuko alipopata habari na kujikaza na kubaki mkakamavu kabla ya taratib kutembea kutoka kwenye chumba na Kusema Allah azilaze roho zao mahali pema.
Akaulizwa na msaidizi wake kama wanaweza kukatisha ziara hiyo ya kutembelea wagonjwa? Haniyeh kwa ukakamavu akajibu hapana na kwa nini wakatishe akasema waendelee.
Baadaye alitoa kauli kupitia Aljazeera kwa kumshukuru Allah kwa kumpa heshima kupitia vifo vya vijana wake na vijukuu.
Kiongozi huyo mkuu wa Hamas aliendelea kusema madogo wangu wametunukiwa hii heshima. Walibaki na watu wetu wapalestina Gaza, hawakuondoka na kukimbia. Damu za madogo wangu siyo za thamani sana kuliko damu za watu wetu.
Ismail Haniyeh aliendelea kuiponda Israel eti inaendeshwa na roho ya kisasi akidai ameshapoteza ndugu na wanafamilia 60 tangu hii vita ianze.
The terror leader hit out at Israel, stating they are 'driven by the spirit of revenge' as he claimed around 60 members of his family have been killed since the start of the war.