Video: Huyu ni Askari Magereza ?

Video: Huyu ni Askari Magereza ?

Kwa kutumazama huyu dogo ni mpumbavu Sana , hii video yake inakiuka misingi ya haki za binadamu.

Naomba jeshi la Magereza watu wapumbavu Kama hawa iwachukulie hatua za kinidhamu .


Kwani tunajua wote kuwa hakuna sheria inayoruhusu mfungwa au mahabusu kupigwa marungu akiwa gerezani
 
Wasiojulikana wana options 2:
  1. Kutekwa na kuto kupatikana tena
  2. Kupelekwa jela/kukubambikia kesi.

Ya kwanza imeshakuwa common, na labda ya pili inachukuliwa poa na watu. Hapo jamaa anajaribu kuwaelezea ubaya wa jela (ingawa sijamaliza kuangalia video yote).

Mwaka wa uchaguzi huu

Nimeelewa hivyo hiyo video
 
Kwa kutumazama huyu dogo ni mpumbavu Sana , hii video yake inakiuka misingi ya haki za binadamu.

Naomba jeshi la Magereza watu wapumbavu Kama hawa iwachukulie hatua za kinidhamu .


Kwani tunajua wote kuwa hakuna sheria inayoruhusu mfungwa au mahabusu kupigwa marungu akiwa gerezani
Asichokijua ni kwamba yeye hapo alipo ni mfungwa anayepata ruhusa ya kurudi nyumbani kwake baada ya kutumikia muda wa kifungo ambao yeye anaona ni ajira. Kufanya kazi magereza na polisi kunataka ujitoe ufahamu.
 
Kwa kutumazama huyu dogo ni mpumbavu Sana , hii video yake inakiuka misingi ya haki za binadamu.

Naomba jeshi la Magereza watu wapumbavu Kama hawa iwachukulie hatua za kinidhamu .


Kwani tunajua wote kuwa hakuna sheria inayoruhusu mfungwa au mahabusu kupigwa marungu akiwa gerezani

Poti anafanya kazi nzuri kukanya na kuogopesha watu wanaosema hawaogopi jela. Iogope jela kwa kuepuka mambo ya uvunjifu wa sheria wa makusudi. Jela sio picnic au matembezi ya bustanini. Ni sehemu ya kuogopesha. Sio sehemu ya kujitakia kuwa huko.
 
Asichokijua ni kwamba yeye hapo alipo ni mfungwa anayepata ruhusa ya kurudi nyumbani kwake baada ya kutumikia muda wa kifungo ambao yeye anaona ni ajira. Kufanya kazi magereza na polisi kunataka ujitoe ufahamu.
Mbona kasema yeye mwenyewe anapaogopa jela ingawa ni askari. Chukua ujumbe chanya. Anakanya watu wanaojifanya wababe ati hawaogopi jela. Kuna familia hazina amani wanafanyiwa unyanyasi na wenye nguvu na kuwatishia kashtaki popote mie jela siogopi. Ujumbe wao ndio huu toka kwa poti kwamba jaribu sasa uingie huko ukajionee show
 
Back
Top Bottom