JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..Lowassa alipotoa kauli ile nilidhani ni upuuzi.
..binafsi I felt embarassed kuwa associated na cdm na mgombea mwenye kutoa ahadi za aina ile.
..Nguza na mwanae wali-exhaust taratibu zote za kisheria na waliwakilishwa na mawakili wazuri tu.
..kutokana ukweli huo naamini haki ilitendeka.
..kitendo cha mgombea Uraisi kupiga kampeni kuwa atawasamehe, na leo Raisi kuwatoa kifungoni Nguza na mwanae, kwangu mimi kinaonyesha waTz hatuko serious na masuala ya ubakaji.
Cc MTAZAMO, Nyani Ngabu, Pascal Mayalla, Nguruvi3
..binafsi I felt embarassed kuwa associated na cdm na mgombea mwenye kutoa ahadi za aina ile.
..Nguza na mwanae wali-exhaust taratibu zote za kisheria na waliwakilishwa na mawakili wazuri tu.
..kutokana ukweli huo naamini haki ilitendeka.
..kitendo cha mgombea Uraisi kupiga kampeni kuwa atawasamehe, na leo Raisi kuwatoa kifungoni Nguza na mwanae, kwangu mimi kinaonyesha waTz hatuko serious na masuala ya ubakaji.
Cc MTAZAMO, Nyani Ngabu, Pascal Mayalla, Nguruvi3