Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,400
Wadau,kuna video inasambaa huko mitandaoni ikionyesha wahudumu wa afya katika mtaa unaotajwa ni mtaa wa Nkuruma street katika ya jiji asubuhi hii wakitoa kinachoonekana ni mwili wa mtu huku wakiwa wamevaa gloves na mavazi maalumu ya kuwakinga na maambukizi(protective gear).
Swali:kuna nini kimetokea kwa anaejua?
Wahusika tunaomba ufafanuzi.
Umeona maiti zinazookotwa huko New York na kutupwa kwenye malori kisha kwenda kuzikwa kwenye makaburi ya halaiki?