mwambojoke
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,060
- 630
wabunge walipotolewa bungeni jana
serukamba akitoa maneno makali kabisa
serukamba akitoa maneno makali kabisa
Last edited by a moderator:
Mimi huwa ninashangaa sana hao wananchi waliowachagua watu kama Mh. Lissu, Mh. Sugu na Mh. Lema walikuwa na akili gani? Hawa wabunge watatu akili zao ni ndogo sana.
Mh. Lissu alimaliza dozi aliyopewa na Dr. Kigwangala? Naona kadiri siku zinavyozidi kwenda ni kama ugonjwa unataka kurudi tena.
Kingwangwala alisha lazwa Muhimbili dokta Ayoub yupo wizarani pale atakuambia alishatibu kile kichwa mbovu kabisa so bear in mind he is a patient he cant prescribe to any one nitakuserukamba sas F.U.C.K..YouMimi huwa ninashangaa sana hao wananchi waliowachagua watu kama Mh. Lissu, Mh. Sugu na Mh. Lema walikuwa na akili gani? Hawa wabunge watatu akili zao ni ndogo sana.
Mh. Lissu alimaliza dozi aliyopewa na Dr. Kigwangala? Naona kadiri siku zinavyozidi kwenda ni kama ugonjwa unataka kurudi tena.
wabunge walipotolewa bungeni jana
serukamba akitoa maneno makali kabisa
Mimi huwa ninashangaa sana hao wananchi waliowachagua watu kama Mh. Lissu, Mh. Sugu na Mh. Lema walikuwa na akili gani? Hawa wabunge watatu akili zao ni ndogo sana.
Mh. Lissu alimaliza dozi aliyopewa na Dr. Kigwangala? Naona kadiri siku zinavyozidi kwenda ni kama ugonjwa unataka kurudi tena.
Kama viongozi wa Bunge ndio hawa, kweli nchi imeoza. Loooh!!! tanzania yangu, umeachwa mkiwa na Nyerere.
Ukitaka kujua wameonewa. Mwangalie LUKUVI na mmunge aliye pembeni yake> wote wameinamisha vichwa chini kwa aibu ya maamuzi ya spika.