Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 1,990
- 3,821
Sasa ndio nini watu kupiga Ndulu😀😀
Naona wanashangilia football
Wewe huna AKILI! Miongoni mwa kazi za polisi ni kupiga raia virungu?Mkipigwa virungu na polisi mnaanza kulia
Ndiomaana mnapigwa kila wakati kwa ujinga wenuWewe huna AKILI! Miongoni mwa kazi za polisi ni kupiga raia virungu?
Ulisoma hadi darasa la ngapi mbona mjinnga hivi?
🤣🤣🤣Chadema wanataka wao tu waruke na chopa,hicho chama kina wafuasi wajinga sana
Mungu yupi labda? Kama ni huyu MUNGU aliyeumba mbingu na nchi, basi acha kumkufuru. Kama ni mungu mwingine unayemjua,wewe basi sawa. Maana imeandikwa " msidanganyike, MUNGU hadhihakiwi..... Wag: 6:7Chadema wanakusanya magenge yao kuhangaika na chaumma, chaumma ni mpango wa Mungu
Ujinga ni kutojua hata kazi za jeshi la polisi! Ukisoma kwenye JD za polisi kupiga raia ni moja ya kazi zao?Ndiomaana mnapigwa kila wakati kwa ujinga wenu