sisi siku ya kupropose mnashona sareHao ni wazungu, sisi ni waafrika; Hizi ni complications kwetu sisi, hazina tija; Huo ni mtazamo wangu.
Ha ha ha! Ndo utamaduni wetu sasa. Unamwandaa mwenzako kwa tukio.sisi siku ya kupropose mnashona sare
ha haha halafu analia eti wakati alikuwa anajua ... hapo tu ndiyo napo ona maigizo yameanzaHa ha ha! Ndo utamaduni wetu sasa. Unamwandaa mwenzako kwa tukio.
Teh teh teh! Hapo kwenye kulia hata mimi huwa nashangaa, lakini nafikiria inatokana na furaha au kutokuamini kabla kama kweli itatokea hivyo. Nimeona hata siku ya ndoa watu wakilia ... Ni hisia za furaha tu, kwamba kumbe ni kweli imetokea.ha haha halafu analia eti wakati alikuwa anajua ... hapo tu ndiyo napo ona maigizo yameanza
ha hahaha hamna kitu kama hicho yani ujiandae miezi na sare ushone uje kuvalishwa pete ya uchumba nilie siwezi kuliaTeh teh teh! Hapo kwenye kulia hata mimi huwa nashangaa, lakini nafikiria inatokana na furaha au kutokuamini kabla kama kweli itatokea hivyo. Nimeona hata siku ya ndoa watu wakilia ... Ni hisia za furaha tu, kwamba kumbe ni kweli imetokea.
Ila hizo za wazungu unaweza ku copy ukaishia kuwa disappointed!
Teh! Itabidi tufanye utafiti kwa wadada walioolewa ama kuchumbiwa, tuwaulize kwa nini huwa wanalia wakati walikuwa pre informed! Tutapata conclusion nzuri & hata ku publish paper.ha hahaha hamna kitu kama hicho yani ujiandae miezi na sare ushone uje kuvalishwa pete ya uchumba nilie siwezi kulia
Au anakuwa anaona pete inavalishwa anauliza....oooohhh...baby what is this?ha haha halafu analia eti wakati alikuwa anajua ... hapo tu ndiyo napo ona maigizo yameanza
Au anakuwa anaona pete inavalishwa anauliza....oooohhh...baby what is this?
Akifungua macho anasema waoooooh.....na machozi juu...full maigizo
ha hahaha ndiyo maana inabidi waigize mpaka mwishoAu anakuwa anaona pete inavalishwa anauliza....oooohhh...baby what is this?
Akifungua macho anasema waoooooh.....na machozi juu...full maigizo
Hebu tuangalie hii marriage proposal tuone kama hapa kwetu inawezekana
Proposal ya kwanza Lodge... Tena unaanza kuulizwa wewe mwanaume, hivi utanioa kweli... Unajibu ngoja tumalize kwanza acha maswali... Unaulizwa tena mwanaume... unanipenda kweli, ndiyo... Unajibu kaa vizuri kwanza... linpigwa gemu takatifu. Mkimaliza hapo, hamkumbuki hata mlikuja kufanya nini, kila mmoja anatafuta nguo zake, mlango wa kutokea upo wapi, unaangalia kushoto kulia usije ukagongana sura na mtu unayemjua... haooo...
Proposal ya kwanza Lodge... Tena unaanza kuulizwa wewe mwanaume, hivi utanioa kweli... Unajibu ngoja tumalize kwanza acha maswali... Unaulizwa tena mwanaume... unanipenda kweli, ndiyo... Unajibu kaa vizuri kwanza... linpigwa gemu takatifu. Mkimaliza hapo, hamkumbuki hata mlikuja kufanya nini, kila mmoja anatafuta nguo zake, mlango wa kutokea upo wapi, unaangalia kushoto kulia usije ukagongana sura na mtu unayemjua... haooo...
Proposal ya kwanza Lodge... Tena unaanza kuulizwa wewe mwanaume, hivi utanioa kweli... Unajibu ngoja tumalize kwanza acha maswali... Unaulizwa tena mwanaume... unanipenda kweli, ndiyo... Unajibu kaa vizuri kwanza... linpigwa gemu takatifu. Mkimaliza hapo, hamkumbuki hata mlikuja kufanya nini, kila mmoja anatafuta nguo zake, mlango wa kutokea upo wapi, unaangalia kushoto kulia usije ukagongana sura na mtu unayemjua... haooo...
Hahaaa. Achaga basi kuongea ukweli saa nyingine.Proposal ya kwanza Lodge... Tena unaanza kuulizwa wewe mwanaume, hivi utanioa kweli... Unajibu ngoja tumalize kwanza acha maswali... Unaulizwa tena mwanaume... unanipenda kweli, ndiyo... Unajibu kaa vizuri kwanza... linpigwa gemu takatifu. Mkimaliza hapo, hamkumbuki hata mlikuja kufanya nini, kila mmoja anatafuta nguo zake, mlango wa kutokea upo wapi, unaangalia kushoto kulia usije ukagongana sura na mtu unayemjua... haooo...