GE2025 Video: CCM Nzasa Watishia Kukatwa Mgombea Wao Hawatashiriki Uchaguzi

GE2025 Video: CCM Nzasa Watishia Kukatwa Mgombea Wao Hawatashiriki Uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Linus w slaa

Member
Joined
Jan 29, 2025
Posts
67
Reaction score
151
CCM Nzasa Watishia Kukatwa Mgombea Wao Hawatashiriki Uchaguzi

Chama cha Mapinduzi (CCM) Nzasa wametoa salamu kali, wakisema kuwa iwapo mgombea wao atakatwa na kwa sababu zozote, hawatashiriki uchaguzi wa Oktoba 2025. Kauli hii inakuja wakati nchi ikijiandaa kwa uchaguzi wa urais, ubunge na udiwani, ambao tayari umeanza kuwa na mvutano wa kisiasa.

Wakati huo huo, chama cha upinzani cha Chadema kimeendelea na kampeni yao ya "No Reforms, No Elections," wakisisitiza kuwa hawashiriki uchaguzi bila mabadiliko ya kina katika katiba na sheria za uchaguzi. Chadema wamesema wazi kuwa bila tume ya uchaguzi huru na uhuru wa kisiasa, kushiriki uchaguzi kungekuwa ni kuhalalisha mfumo wenye kasoro. Kauli hii imepata umaarufu mkubwa mtandaoni na katika maongezi ya kitaifa, ingawa CCM wamejaribu kuiponda.

Hata hivyo, CCM Nzasa wamechukua msimamo wa kipekee kwa kuwatishia kuwa wanaweza kutoshiriki uchaguzi kabisa iwapo mgombea wao ata katwa, jambo ambalo linaweza kuongeza mvutano zaidi katika siasa za Tanzania. Wataalamu wa siasa wanasema msimamo huu unaweza kuwa ni jibu la shinikizo la Chadema, lakini pia unaonyesha woga ndani ya CCM kuhusu mustakabali wa uchaguzi.

 
CCM Nzasa Watishia Kukatwa Mgombea Wao Hawatashiriki Uchaguzi

Chama cha Mapinduzi (CCM) Nzasa wametoa salamu kali, wakisema kuwa iwapo mgombea wao atakatwa na kwa sababu zozote, hawatashiriki uchaguzi wa Oktoba 2025. Kauli hii inakuja wakati nchi ikijiandaa kwa uchaguzi wa urais, ubunge na udiwani, ambao tayari umeanza kuwa na mvutano wa kisiasa.

Wakati huo huo, chama cha upinzani cha Chadema kimeendelea na kampeni yao ya "No Reforms, No Elections," wakisisitiza kuwa hawashiriki uchaguzi bila mabadiliko ya kina katika katiba na sheria za uchaguzi. Chadema wamesema wazi kuwa bila tume ya uchaguzi huru na uhuru wa kisiasa, kushiriki uchaguzi kungekuwa ni kuhalalisha mfumo wenye kasoro. Kauli hii imepata umaarufu mkubwa mtandaoni na katika maongezi ya kitaifa, ingawa CCM wamejaribu kuiponda.

Hata hivyo, CCM Nzasa wamechukua msimamo wa kipekee kwa kuwatishia kuwa wanaweza kutoshiriki uchaguzi kabisa iwapo mgombea wao ata katwa, jambo ambalo linaweza kuongeza mvutano zaidi katika siasa za Tanzania. Wataalamu wa siasa wanasema msimamo huu unaweza kuwa ni jibu la shinikizo la Chadema, lakini pia unaonyesha woga ndani ya CCM kuhusu mustakabali wa uchaguzi.

View attachment 3411313
Let him watch out—ataingizwa kwenye kill list ya Samia The Killer.
 
Back
Top Bottom