Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
<br />Video kamera ni kuanzia 500,000 hadi 15,000,000 baada ya hapo ni zile za studio au HDV camera za kisasa kabisa au tazama avantar yangu hapo juu<br />
<br />
hivyo unataka ya bei gani nikiwekeee pcha hapa
mhhhh hata mtaaani siku hizi hawataki picha zinazosinzia leta hela nikuuzie kitu cha kisasa kinaitwa SONY HD (AVCHD) HDR-CX550 ikiwa na wide convensional lens bei 1,300,000. Ni kitu cha kisasa cha uhakika na kinabebeka, aidha nina vifaa vya sauti microphone professional wireless system with its transmitter zake aina ya senheineser ikiwa na boom mic hivi nauza 1Milion hivyo vyote kwa pamoja ni 1,300,000 nikipunguza labda nitaondoa hizo 300,000!! vipya vyote
Tafuta sony zinazotumia mini dv tapes nadhani zinaanzia laki tatu
sasa mkuu mi ndio nayoitumia na niliinunua dola 250 tu sawa na sh ngapi za tz na ni mpya sio usedacha uongo wewe! labda used au unasema still kamera
kwa laki tatu huwezi kupata kamera ya maana,kwanza haipo
sasa mkuu mi ndio nayoitumia na niliinunua dola 250 tu sawa na sh ngapi za tz na ni mpya sio used
Tafuta sony zinazotumia mini dv tapes nadhani zinaanzia laki tatu
ya kwako uliyonunua dola 250 ina ubora katika picha?
Ubora wa picha za video hauji kutokana na kamera yenyewe tu bali software utakayotumia kuedit hizo video,ya kwangu iko poa sana na wala hainisumbui
Hivi mkuu unachosema ni kweli au unasema tu !
ubora wa picha unategemea sana kamera yenyewe,Editing sana sana utaongeza effect au animation tu.
sijui kama upo katika hii field kwani unayojibu ni kama nadharia tu mkuu
Ubora wa picha za video hauji kutokana na kamera yenyewe tu bali software utakayotumia kuedit hizo video,ya kwangu iko poa sana na wala hainisumbui
Najua ninachokijibu na kukieleza wewe unafikiri Adam Juma wa visual lab kwa nini huwa anaringa sana katika kupiga picha za video za bongo flava wewe unafikiri anatumia kamera kali sana na ya gharama sana kushinda watu wengine ndio maana video zake zinakuwa gharama sana yaani kuanzia 1m na kuendelea,hapana anachoringia yeye ni hiyo software anayotumia kuedit hizo video anazopiga ndio maana zinaonekana bora kuliko nyingine ndio maana zinapigwa hadi channel O,nadhani hapo umenielewa nini nazungumzia.Hivi mkuu unachosema ni kweli au unasema tu !
ubora wa picha unategemea sana kamera yenyewe,Editing sana sana utaongeza effect au animation tu.
sijui kama upo katika hii field kwani unayojibu ni kama nadharia tu mkuu
Najua ninachokijibu na kukieleza wewe unafikiri Adam Juma wa visual lab kwa nini huwa anaringa sana katika kupiga picha za video za bongo flava wewe unafikiri anatumia kamera kali sana na ya gharama sana kushinda watu wengine ndio maana video zake zinakuwa gharama sana yaani kuanzia 1m na kuendelea,hapana anachoringia yeye ni hiyo software anayotumia kuedit hizo video anazopiga ndio maana zinaonekana bora kuliko nyingine ndio maana zinapigwa hadi channel O,nadhani hapo umenielewa nini nazungumzia.
Najua ninachokijibu na kukieleza wewe unafikiri Adam Juma wa visual lab kwa nini huwa anaringa sana katika kupiga picha za video za bongo flava wewe unafikiri anatumia kamera kali sana na ya gharama sana kushinda watu wengine ndio maana video zake zinakuwa gharama sana yaani kuanzia 1m na kuendelea,hapana anachoringia yeye ni hiyo software anayotumia kuedit hizo video anazopiga ndio maana zinaonekana bora kuliko nyingine ndio maana zinapigwa hadi channel O,nadhani hapo umenielewa nini nazungumzia.
UNATUMIA SOFWARE IPI KUEDIT VIDEP MKUUUbora wa picha za video hauji kutokana na kamera yenyewe tu bali software utakayotumia kuedit hizo video,ya kwangu iko poa sana na wala hainisumbui
lUNATUMIA SOFTWARE GANI?MIMI NINAYO PINNACLE na Ulead