Video: Bibi aelezea mawazo yake kuhusu CCM

Video: Bibi aelezea mawazo yake kuhusu CCM

Last edited by a moderator:
"Hatuna amani tuna uvumilivu...

pata kesi au uugue ndio utajua uzuri wa ccm

Huyo lowassa kwani mzungu anakuja kugombea......

watakao leta vurugu ni hao wenye silaha.

Unaogopa kufa kwani utaishi milele..........

sisi ndio tunaijua ccm tangu TAA TANU sasa CCM.........." maneno ya bibi Mungu akupe maisha marefu natamani nije kwako unipe historia ya hii nchi.

...Tanzania ni kisiwa cha uvumilivu sio cha amani... Ukitaka kuijua ccm pata kesi
 
duuu bibi ningejua namba yako ya m-pesa ningekutumia laki, maana umewazid hadi vijana walioamua kuweka akili zao mifukon wakaishia kwenye ushabiki.. lol
 
Mmmmmmm Basi mnyamze hatutaki ya kututia ujinga sisi itakuwa vita.... itakuwa vita..... liwasa mwizi katoka wapi?...
 
ati anakwambia nyerere alikuwa nabunduki. eti vita wataleta ccm . aya basi msitutie ujinga kusema lowassa mwizi. bibi kamaliza
 
USHAURI: Huyu bibi ni Asset kwa Taifa letu kwani Kapigania UHURUna sasa basi anapigania MABADILIKO (Kinyume kabisa na alivyotuambia Mkapa pale Jangwani). Badala ya kufurahia tu hicho alichokisema kwenye hio video, basi kuna umuhimu wa kuanza kumtambua kama ni nembo Ya Mabadiliko. Ningeshauri huyu bibi akawekewa 'ulinzi' kabla ya Usalama wa Taifa hawajamchuna ngozi! Pia kuna haja ya kuanzisha "crowd funding" kwa jina la huyu mama na naamini kabisa wenzetu Diaspora watatuunga mkono kwa hili .
 
Mie natoa laki mbili, nipeni utaratibu wa kumtumia. kampeni meneja wa Ukawa. huyu bibi apewe platform as soon as possible. Cadre hii ndiyo tatizo. ikipata msemaji mwenzao ni big up.
 
Kwa makamanda walioguswa na bibi hoja za bibi huyu wamchangie kwa tigo pesa kwenye namba zifuatazo
 
USHAURI: Huyu bibi ni Asset kwa Taifa letu kwani Kapigania UHURUna sasa basi anapigania MABADILIKO (Kinyume kabisa na alivyotuambia Mkapa pale Jangwani). Badala ya kufurahia tu hicho alichokisema kwenye hio video, basi kuna umuhimu wa kuanza kumtambua kama ni nembo Ya Mabadiliko. Ningeshauri huyu bibi akawekewa 'ulinzi' kabla ya Usalama wa Taifa hawajamchuna ngozi! Pia kuna haja ya kuanzisha "crowd funding" kwa jina la huyu mama na naamini kabisa wenzetu Diaspora watatuunga mkono kwa hili .

mimi sikutegemea kabisa kwa bibi kama huyu kuyataka mabadiliko kwa ujasiri wote huo, kanisisimua mwili kwa kweli mkuu
 
"Hatuna amani tuna uvumilivu...

pata kesi au uugue ndio utajua uzuri wa ccm

Huyo lowassa kwani mzungu anakuja kugombea......

watakao leta vurugu ni hao wenye silaha.

Unaogopa kufa kwani utaishi milele..........

sisi ndio tunaijua ccm tangu TAA TANU sasa CCM.........." maneno ya bibi Mungu akupe maisha marefu natamani nije kwako unipe historia ya hii nchi.

Mkuu kidaganda ni kweli ukitaka kumtawala mtu mnyime elimu haya mafisadi yamewanyima vijana wetu elimu wanakosa maarifa ya kuchambua vitu kama huyu bibi, kwa dunia ya sasa tulitegemea vijana ndiyo wawe kama huyu bibi kwa kuchambua vitu lakini......
 
Last edited by a moderator:
Ukisikiliza hiyo lafudhi ya huyo bibi na huyo anayemhoji utajua ni watu wa wapi.

Huko "wapi" sio Tanzania?

Au huko kwenu ndio kuna watanzania bora zaidi kuliko kwingine

Hii mbegu ya ubaguzi mnayopanda watu wa CCM...Ikiota na kumea nchi hii hapatakalika
 
Huyu bibi nimemkubali sana. Eti lowassa fisadi. Kwani katoka wapi? Wakoloni walitoka na nchi ikabaki salama iweje ukawa walete vita wakati hawana jeshi?
 
Yaani bibi kanifurahisha, nimempa mama amsikie, kafurahi kamkumbusha nyimbo za Tanu Youth League.
Kweli inabidi tumtafute tumpe kidogo kwa mchango wake wa ukombozi wa pili
 
Ukisikiliza hiyo lafudhi ya huyo bibi na huyo anayemhoji utajua ni watu wa wapi.
Anatoka ule mkoa ambao watu wake ni wagum sana kuwadanganya kuwa 2+2=20 kama wale wa unapotokea!
 
Back
Top Bottom