Angalau huyu Bibi hata kama ataamua kupiga kura upande wowote atakuwa kaongozwa na tafakuri na hoja wakati kuna vijana wasomi wazuri wanajiandaa kupiga kura ila hawana hoja hata dhaifu kwa nn wanachagua hicho wanachochagua
Maccm yajue kuwa watu weshakata tamaa, kwao hakuna tena cha kuwatisha. Kama mbwayi na mbwayi. Bibi ka huyu ameamua kufa na Lowasa, je kuna wangapi wameamua?? Kama ccm ni imara, uitishwe uchaguzi leo tuone. Nasema ccm bai baiiiiiiii
Mimi nilijisemea jana kuwa hawa ndio watu eanaotakiwa kutunukiwa.
Pia ni vema huyu bibi akatafutwa siku ya kufunga campaign jangwani akapa wasaa wa kutoa elimu hii mujarabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.