,Hakuna cha "MAGUFULI" wala "MAKOMEO" ccm ni walewale sema tu wamebadili chupa lakini pombe ni ileile Na Siku Zote Mti Mbaya Hauwezi Kutoa Matunda Mazuri. kura zangu zote kunzia udiwan ubunge na urais ni UKAWAAAAAAAA tu hakuna la ziada CCM mpaka hapo wametufikisha pabaya. sasa tusemeeee? inatoshaaaaa kwa sauti tukianza na wewe! forwad sms hii kwa makamanda 90 ili tupate ushindi wa kishindoooooo!!!!
La bibi kamaliza. Kama mbwai na iwe mbwai. Chechemea baibai. Kura kwa LOWASA
sasa inakuwaje ndugu unachukua tunda toka mti mbaya na kulihamishia ndani kwako au labda hayo maneo ya mti mbaya kutoa tunda nzuri siyo yako ?
SIASA NI SAWA NA PILAU LA MSIBANI.