Video: Askofu Gwajima atuma pepo kwa 'anayesumbua Dar es Salaam', pepo lakataa na kusema haingiliki

But the authenticity of the video and the words is very important.
Isijekuwa ndicho kilichotupeleka South Africa?
 
Ndg. Askofu Gwajima wakati akimwombea mama mmoja alisikika akisema pepo toka aende kwa mkuu wa Dar es salaam , mama huyo alisikika akisema mbona haingiliki.

Hii ina tafsiri gani wana JF

Kwenye red, mimi sijasikia hayo maneno. Hiyo ni tafsri yako kama sikosei.
 
Hata Yesu Kristo hakuwahi kutuma pepo wakaingie kwa Mwanadamu. Huu ni ushirikina ndo maana pepo amekataa kwenda kwani jina la Yesu haliambatani na Uchafu kama Huu. Mtoa Pepo anapaswa kutubu! Hata wale waumini wake wapuliza vuvuzela, hawajui walifanyalo!
 
Back
Top Bottom