Kuna baadhi ya magazeti ni dhalili kwa utu wa mwanaume kuyasoma. Hilo la kwanza kabisa juu limeweka picha ya waliogandana Temeke, pumbav hawa; hiyo ni picha ya ile clip ya Kenya
Sasa videmu vyote vilivyoishia form 2 vitakuwa bize mitaani na magazeti hayo vikisimulia utadhani vilikuwepo kwa jinsi vilivyoumba kishabiki. Cha ajabu utakuta ndani ya daladala baba mtu mzima na ndevu zake anasoma Ijumaa, Sani, Uwazi, na mengineyo ya namna hiyo bila aibu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.