Vichekesho vya pensheni

Vichekesho vya pensheni

VIICHEKESHO VYA PENSION
1. Watu wanasahau ndani ya pension mchango wa mwajiri ni mkubwa kuliko wa mfanyakazi!
2. Kudai pension kabla ya kuzeeka ni sawa na mtoto Wa shule ya msingi kudai baba ampe ada mpaka ya chuo kikuu atapanga mwenyewe utaratibu wa kulipa ada baadae.
3. Watu wakizeeka wanadai serikali haiwajali wazee serikali nayo inawapeleka Nungwi kustarehe.
...
Kwa vichekesho hivi bonyeza neno "TANZANIA"
Kama sijakuelewa kabisa.
 
VIICHEKESHO VYA PENSION
1. Watu wanasahau ndani ya pension mchango wa mwajiri ni mkubwa kuliko wa mfanyakazi!
2. Kudai pension kabla ya kuzeeka ni sawa na mtoto Wa shule ya msingi kudai baba ampe ada mpaka ya chuo kikuu atapanga mwenyewe utaratibu wa kulipa ada baadae.
3. Watu wakizeeka wanadai serikali haiwajali wazee serikali nayo inawapeleka Nungwi kustarehe.
...
Kwa vichekesho hivi bonyeza neno "TANZANIA"
Unawakejeli pensioners.uzee ni thawabu na siyo laana.Kwa kejeli hizi basi omba sana usifikie uzee.
 
HAKUNA POST HAPO ,,,
1,Fanya analysis ya new way of pension
( full pension ,,,1/580 x jumla ya miezi ya uchangiaji x mishahara (APE)
2, MKUPUO 1/580 x jumla ya miezi ya uchangiaji x mishahara (APE) X 12.5 X 25%
3,PENTION KWA MWEZI 1/580 x jumla ya miezi ya uchangiaji x mishahara X 75% X 1/12

KWA 12 YEARS TU JAMANI TOENI MZIGO MTU AJUE PA KUANZIA hahaa,,,,fomula hizo duuuu...
Ivi hiyo APE ina maana gani ?
Na miezi ya uchangiaji ??? ngumu kumeza
 
VIICHEKESHO VYA PENSION
1. Watu wanasahau ndani ya pension mchango wa mwajiri ni mkubwa kuliko wa mfanyakazi!
2. Kudai pension kabla ya kuzeeka ni sawa na mtoto Wa shule ya msingi kudai baba ampe ada mpaka ya chuo kikuu atapanga mwenyewe utaratibu wa kulipa ada baadae.
3. Watu wakizeeka wanadai serikali haiwajali wazee serikali nayo inawapeleka Nungwi kustarehe.
...
Kwa vichekesho hivi bonyeza neno "TANZANIA"
Ninyi wanasiasa akili zenu ziko kwenye matumbo yenu hamuangalii future za watu. Haya ni mawazo ya kipumbavu kabisa
 
Ninyi mishahara yenu ni minono na pension zenu kubwa lakini hamzichukui mkizeeka wala jamchukui kwa 25% kama mnavyo wafanyia wenzenu lakini.
Wao mishahara yao kidogo halafu mnatoa mawazo ya kijinga au kipumbavu hapa
 
Hivi moderators hawana filter ya kuchuja uchafu humu?
Huu uchafu unakujaje hapa kwa great thinkers.
 
VIICHEKESHO VYA PENSION
1. Watu wanasahau ndani ya pension mchango wa mwajiri ni mkubwa kuliko wa mfanyakazi!
2. Kudai pension kabla ya kuzeeka ni sawa na mtoto Wa shule ya msingi kudai baba ampe ada mpaka ya chuo kikuu atapanga mwenyewe utaratibu wa kulipa ada baadae.
3. Watu wakizeeka wanadai serikali haiwajali wazee serikali nayo inawapeleka Nungwi kustarehe.
...
Kwa vichekesho hivi bonyeza neno "TANZANIA"
Nakuona chakubanga umetumwa
 
Kuna mtu kama angekuwa yupo jirani na waliochangia uzi huu angetandikwa kipigo cha mbwa koko!
 
Maadui Wakuu Wa Tanzania Ni
1 . Ujinga
2 . Umasikini
3 . Maradhi
 
Mods mko wapi mbona mnaacha hoja mbovu lama hizi zinatamba kwenye page ya forum??
 
VIICHEKESHO VYA PENSION
1. Watu wanasahau ndani ya pension mchango wa mwajiri ni mkubwa kuliko wa mfanyakazi!
2. Kudai pension kabla ya kuzeeka ni sawa na mtoto Wa shule ya msingi kudai baba ampe ada mpaka ya chuo kikuu atapanga mwenyewe utaratibu wa kulipa ada baadae.
3. Watu wakizeeka wanadai serikali haiwajali wazee serikali nayo inawapeleka Nungwi kustarehe.
...
Kwa vichekesho hivi bonyeza neno "TANZANIA"
Kama hivi ndivyo vinavyokuchekesha basi hujielewi. Onea huruma wazee wetu wanaoteseka sasa kwa sababu ya hizi sheria
 
Utakuta aliyeleta mada ni kigogo mkubwa sana hapo Lumumba.
Na huenda ni limwanafunzi la waziri wa kazi pindi alipokuwa anafundisha! Hawa walimu waliokimbilia siasa na maadui wa ustawi wa wastaafu kwani wana roho mbaya kuliko shetani aliyeumbiwa eoho hiyo! Kiuhalisia walichojifunza na kuhitimu vyema ni kujipendekeza, unafiki na roho mbaya! Mungu huna kazi na eoho hizi zinazoumiza roho zisizo na hatia? Zichukue basi hata ukaziweka icu zitaabike pamoja na mwili!
 
Serikali hii inasema inatetea wanyonge, Rais atwambie wanyonge ni akina nani? Sijaelewa
 
Hata minister akiwa kwenye system yuko kama wewe ila akishatoka kwenye system ndio anapata busara..
 
Back
Top Bottom