amatolo
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 690
- 713
Kama sijakuelewa kabisa.VIICHEKESHO VYA PENSION
1. Watu wanasahau ndani ya pension mchango wa mwajiri ni mkubwa kuliko wa mfanyakazi!
2. Kudai pension kabla ya kuzeeka ni sawa na mtoto Wa shule ya msingi kudai baba ampe ada mpaka ya chuo kikuu atapanga mwenyewe utaratibu wa kulipa ada baadae.
3. Watu wakizeeka wanadai serikali haiwajali wazee serikali nayo inawapeleka Nungwi kustarehe.
...
Kwa vichekesho hivi bonyeza neno "TANZANIA"