GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Wanabodi, Kuna usemi unasema kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji
CHADEMA ni chama cha kupiga makelele na sio kelele tu bali kelele zenye vichekesho na vituko ndani yake.
Kuelekea uchaguzi October 2020 tayari walishashindwa kabla ya kampeni kuanza, Wamejawa hofu ya kutokujiamini na shutuma ambazo hazieleweki kwa wanakijiji kule Nanjilinji, Kipoke, Ndembela, Lupaso, Magagula na hata Busokelo kijijini ndani huko kwa Prof Mark J Mwandosya
CHADEMA Yapasa mtambue safari hii chama cha mapinduzi Tutashinda na sio kushinda tu Tutashinda kwa kishindo kikuu.
Huko vijijini wakulima hawana smartphone wala hawajui kama kuna YouTube, Tweeter au Instagram, Wanakijiji wakiamka asubuhi wanaenda shamba kulima, Muda wa kusikiliza habari ni jioni au kwenye vilabu vya pombe za kienyeji
Tutashinda huko vijijini kwa mshindo mkuu na sio kishindo tena, Mpaka sasa huko Nanjilinji, Busokelo, Mpitimbi, kilosa tulishawapiga chini kabla ya October 2020
Vijana mnaowategemea ni choka mbaya hawana kitu mfukoni hata pesa ya nauli au kula au kuvaa hawana, Wanapiga kelele vitambulisho vya kupiga kura hawana, Maisha yamewapiga wako dhoofu bin taabani, Hawa vijana kichwani wana elimu ya kukariri makaratasi darasani tu bali elimu ya kufikiri hakuna
Tumebakiwa na kundi la watu wazima na akina Mama, Hawa tayari mnawaona akina Mama na Madela tayari wakiunga mkono ccm kwa kigezo cha vituo vya afya na maji kila kona ya nchi
Hii nchi tambueni watu ni wazalendo na waoga sana sana, Wengi wamezaliwa hapa na watazikwa hapa, Ndio maana wimbo wa Taifa unapoimbwa watanzania wengi huwa na Furaha moyoni iliyofunganishwa na uvumba wa mwenge wa uhuru ambao huwapumbaza na kuwajengea umoja usio na kifani
CHADEMA sasa wanalialia kabla hata hatuja tumia SHiKwaMBi
Hivi tukitumia SHIKWAMBI ( Shinda kwa Mbinu iwe Jua au Mvua) si mtaishia kulalamika tu YouTube na Tweeter
Mkitupanda kichwani na kulalamika kama watoto wachanga sasa tutatumia Shikwambi
CHADEMA ni chama cha kupiga makelele na sio kelele tu bali kelele zenye vichekesho na vituko ndani yake.
Kuelekea uchaguzi October 2020 tayari walishashindwa kabla ya kampeni kuanza, Wamejawa hofu ya kutokujiamini na shutuma ambazo hazieleweki kwa wanakijiji kule Nanjilinji, Kipoke, Ndembela, Lupaso, Magagula na hata Busokelo kijijini ndani huko kwa Prof Mark J Mwandosya
CHADEMA Yapasa mtambue safari hii chama cha mapinduzi Tutashinda na sio kushinda tu Tutashinda kwa kishindo kikuu.
Huko vijijini wakulima hawana smartphone wala hawajui kama kuna YouTube, Tweeter au Instagram, Wanakijiji wakiamka asubuhi wanaenda shamba kulima, Muda wa kusikiliza habari ni jioni au kwenye vilabu vya pombe za kienyeji
Tutashinda huko vijijini kwa mshindo mkuu na sio kishindo tena, Mpaka sasa huko Nanjilinji, Busokelo, Mpitimbi, kilosa tulishawapiga chini kabla ya October 2020
Vijana mnaowategemea ni choka mbaya hawana kitu mfukoni hata pesa ya nauli au kula au kuvaa hawana, Wanapiga kelele vitambulisho vya kupiga kura hawana, Maisha yamewapiga wako dhoofu bin taabani, Hawa vijana kichwani wana elimu ya kukariri makaratasi darasani tu bali elimu ya kufikiri hakuna
Tumebakiwa na kundi la watu wazima na akina Mama, Hawa tayari mnawaona akina Mama na Madela tayari wakiunga mkono ccm kwa kigezo cha vituo vya afya na maji kila kona ya nchi
Hii nchi tambueni watu ni wazalendo na waoga sana sana, Wengi wamezaliwa hapa na watazikwa hapa, Ndio maana wimbo wa Taifa unapoimbwa watanzania wengi huwa na Furaha moyoni iliyofunganishwa na uvumba wa mwenge wa uhuru ambao huwapumbaza na kuwajengea umoja usio na kifani
CHADEMA sasa wanalialia kabla hata hatuja tumia SHiKwaMBi
Hivi tukitumia SHIKWAMBI ( Shinda kwa Mbinu iwe Jua au Mvua) si mtaishia kulalamika tu YouTube na Tweeter
Mkitupanda kichwani na kulalamika kama watoto wachanga sasa tutatumia Shikwambi