Mhindi aliambiwa amalizie methali za
Kiswahili;
1.Nyani haoni:- valise miwani
2.Debe tupu :- weka dengu
3.Maskini akipata :- itaacha iba
jumbani
4.Penye kuku wengi :- Chinja bili au
tatu
5.Asiyesikia la mkuu :- Peleka yeye
polisi
6.Penye wengi :- iko kutano ya CCM
7.Penye fujo :- hapo iko chadema
8.Bandu bandu? :- Baba yake Somji
iko Bombay
9.Simba mwenda pole :- Huyo
naogopa yanga banah
10.Chovya chovya :- mwisho yake
tapata mimba
11.Mficha uchi :- Bado janyoa huyo