Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Mkuu hivi Vicent Nyerere naye kweli ana ubavu wa kupambana na Kikwete. Kashindwa Dr Slaa, Mbowe. Ataweza Vicent.
Naomba ubadirishe avatar yako mkuu maana kila nikikuona mie na wanangu tunatishika. Do me a favor please!