KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,790
- 86,532
Tafuna Hennessy ama liqueur yoyoteMkuu nilianza na mzinga sasaivi namalizia laini kushapua mdomo uchinuke nyagi😂😂😂
Tafuna Hennessy ama liqueur yoyoteMkuu nilianza na mzinga sasaivi namalizia laini kushapua mdomo uchinuke nyagi😂😂😂
Mkuu unataka nishindwe ku drive nilale bar sio😂😂😂Tafuna Hennessy ama liqueur yoyote
Leo no Live band 🥺Si ndio 😂
Acha kinyonge kweliLeo no Live band 🥺
Kachupa kamoja meza kisturi kigoda upo bar au klabu cha pombe local, warembo wanabidi wakuzunguke kiasi kwamba DC akipiga simu unamjibu km unaongea house boy mkata majani nyumbani kwakoHata shisha hamna huyu hajui hata starehe bado sana kwenye haya mambo!, na hapo ukute imeshchukua hiyo bia moja..🤣
sasa unatokaje bar unadrive..? kwanza unatakiwa ufatwe we wa wapi wewe...? umekaa kishamba sana..😂Mkuu unataka nishindwe ku drive nilale bar sio😂😂😂
Mamaeeeee 😂😂😂😂🏃🏽♂️🏃🏽♂️🏃🏽♂️sasa unatokaje bar unadrive..? kwanza unatakiwa ufatwe we wa wapi wewe...? umekaa kishamba sana..😂
Kumbavuuu Sina ulimbuken huo alafu mm sio mtu wa totozi kivileKachupa kamoja meza kisturi kigoda upo bar au klabu cha pombe local, warembo wanabidi wakuzunguke kiasi kwamba DC akipiga simu unamjibu km unaongea house boy mkata majani nyumbani kwako
kumbe we ni lambalamba tu si mnywaji!.. tupo tunasahau mpk njia yakwenda nyumbani tunaingia kwa jirani na zogo kama lote!..😂Mamaeeeee 😂😂😂😂🏃🏽♂️🏃🏽♂️🏃🏽♂️
Acha mkuu Kuna siku nililewa kiasi kwamba nipo Lodi nikakutana na patroo ya police ukatokea mtiti,nikampeleka police police 😂😂😂😂 unajua nn kilifata sitasahau ilekumbe we ni lambalamba tu si mnywaji!.. tupo tunasahau mpk njia yakwenda nyumbani tunaingia kwa jirani na zogo kama lote!..😂
Unagombana na wana hata ulewe vipi bora ukasahau nyumbani lakini sio hao na kunapotokea hatari ujue kukimbia baadae watasimuliana wao uliwezaje kukimbia wakati kutembea ulikuwa huwezi...🤣Acha mkuu Kuna siku nililewa kiasi kwamba nipo Lodi nikakutana na patroo ya police ukatokea mtiti,nikampeleka police police 😂😂😂😂 unajua nn kilifata sitasahau ile
😅😅😅Hivi kunywa kilimanjaro umepata ujasiri wapi wa kuiita BATA?
Acha mkuu Sasa mm ndo nikajiona police yule n Raia wewe acha tu ngoja ninyamaze🏃🏽♂️🏃🏽♂️🏃🏽♂️Unagombana na wana hata ulewe vipi bora ukasahau nyumbani lakini sio hao na kunapotokea hatari ujue kukimbia baadae watasimuliana wao uliwezaje kukimbia wakati kutembea ulikuwa huwezi...🤣
Poker hujaweka jinsia au yeyote? 😹Kwa mwana JF yoyote aliyepo mbeya anicheki ntagharamia kila kitu aje tuburudike. Ntakuwepo jijini mbeya kwa wiki 2.
Basi hapo ushatamani, nenda akuunganishe pamoja na béer akugide..!! 😹😹😹Ki home home tu 🤗
Zero unaiomba kimtindo au sio? 😹Nikupelekee Serena siku moja moja sio unakaa tu nyumbani
AchA kumtisha Sasa 😂😂Basi hapo ushatamani, nenda akuunganishe pamoja na béer akugide..!! 😹😹😹