Vibaraka wanaisambaratisha nchi lakini CCM wapo bize na CHADEMA

Vibaraka wanaisambaratisha nchi lakini CCM wapo bize na CHADEMA

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,144
Reaction score
48,371
Wakati vibaraka wa mabeberu wanasaini mikataba ya hovyo hovyo inayowatia hasara watanzania na Tanzania, chama kinachoongoza nchi Kiko bize kuishambulia CHADEMA.

Wakati mabilioni ya fedha za umma yanaibwa ama na watumishi wa umma au watu binafsi, CCM iko bize kupambana na BAWACHA.

Tanzania hasara kubwa tuliyonayo ni kuwepo kwa CCM madarakani.
 
Back
Top Bottom