Vibaraka wa mabeberu wanaungana!

Vibaraka wa mabeberu wanaungana!

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,193
Reaction score
8,699
Siwezi kushangaa juu ya hili jambo sababu nia yao mbaya kwa taifa letu inajulikana. Wao siku zote ni kuliombea mabaya taifa letu maana hawataki lifanikiwe kimaendeleo au hata kuwa na amani na utulivu.

Juzi Chadema wamesema wanaweka nia ya kuweka mgombea wa urais Zanzibar,ila kwa sababu hawana nguvu kisiasa hapa Tanzania baada ya kujulikana ni mafisadi na matapeli wa kisiasa wameomba msaada kutoka vyama vingine vya upinzani.
Chama pekee ambacho kimeonesha nia ya kuungana nao ni Act wazalendo.

Na kama waswahili wanavyosema ndege wa rangi moja huruka pamoja. Hawa kwa pamoja huwa hawalitakii mema taifa letu. Wao muda wote huwa wanatumiwa na mabeberu kuhakikisha Tanzania haisongi mbele.

Mfano Act wazalendo walishamtuma kiongozi wao aende Usa kuzuia Tanzania isipate mkopo kwa ajili ya maendeleo ya elimu,Chadema walimuunga mkono asilimia mia.

Ulipoingia ugonjwa wa Covid-19 wao walikuwa wanaomba watanzania wafe kwa wingi ili waibeze Serikali ya Ccm kuwa ilikwama kupambana na ugonjwa huu sababu haikuweka lockdown. Na watu tumewashuhudia viongozi wao wakiombea watanzania wafe kama kuku wa mdondo mbele ya luninga ya Aljazeera.

Swali linakuja nyie vibaraka wa mabeberu hata mkiungana huko Zanzibar au hata kwa urais wa JMT nani atawachagua nyie?

Kama mlikuwa mnataka watanzania wafe kwa wingi ili nyie mpate manufaa ya kisiasa. Nani atawachagua nyie?

Na hata kwenye uchaguzi mkuu swali kubwa litakuwa mlitaka tufe sasa mnatuomba kura za nini?

Nyie vibaraka wa mabeberu na matapeli wa kisiasa.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Vibaraka was mabeberu no maccm na wajinga wenzao kina nccr,cuf na tlp kucha kuomba misaaada wajinga kweli huku yakijiita dona country.
 
Vibaraka was mabeberu no maccm na wajinga wenzao kina nccr,cuf na tlp kucha kuomba misaaada wajinga kweli huku yakijiita dona country.
 
Unawaita vibaraka wa mabeberu Hali unalilia kukosa misaada ya mabeberu hapo ueleweke vipi Sasa.
Uwaite mabeberu Kama unao uwezo wa kujitegemea.
mungu wenu kutwa kuwananga but aishi kuwaomba misaada kila siku.Hii uleta Sana shaka juu ya akili.
Mabeberu sio level yenu hao Wana global future thinking wanajua kabisa wakituacha tu miezi 3 tutakuwa tushakufa.
Hata Nyerere aliwananga Sana mbele majukwaani huku nyuma kakinga mkono akipokea pesa zao.
 
Tunakoelekea hata kuwa chama pinzani linaweza kuwa ni kosa la jinai
 
Wakitoa misaada mnawaita marafiki zetu wafadhili, watu wale wale wakipinga mambo yenu ya kijinga mnawaita mabeberu.
Siku wakiacha kutupa sijui tutakuwa na Hali gani.Tunaishi tunakula tunalala kwa nguvu ya mabeberu
 
Siku wakiacha kutupa sijui tutakuwa na Hali gani.Tunaishi tunakula tunalala kwa nguvu ya mabeberu
Hatutaki misaada ya mashariti ya kibeberu. Wasipotoa tunakomaa kivyetu. Mbona miradi kama JNHPP tunajenga kwa fedha za ndani? Jiulize utapata jibu.
 
Eti mabeberu wakati kigwangala analala Airport kuwasubiri
 
Hebu nenda twitter huko ukajihakikishie vizuri hizo taarifa zako.
 
Tunakoelekea hata kuwa chama pinzani linaweza kuwa ni kosa la jinai
Hapana, hata Usa linapokuja suala lenye maslahi ya taifa siasa wanaweka kando. Huwezi kuomba nchi yako ipate majanga kama upo timamu.
 
Back
Top Bottom