Nimefurahi jana nimepita pale Lugalo nikakuta alama za LUGALO BARRACKS getini vimeboreshwa. Hongera Kwa aliyefanikisha hili, sasa bado zile bango kubwa nyeusi zilizoko moja bondeni karibu na daraja la waenda kwa miguu na lingine karibia Mwenge.
....police state nhe, Zambia 🇿🇲 na Botswana 🇧🇼 pits stop usiku pembeni mwa main gate za makambi ya majeshi yao au kwenye check points zao, watanzania mmeshazoeshwa kuburuzwa
Nimefurahi jana nimepita pale Lugalo nikakuta alama za LUGALO BARRACKS getini vimeboreshwa. Hongera Kwa aliyefanikisha hili, sasa bado zile bango kubwa nyeusi zilizoko moja bondeni karibu na daraja la waenda kwa miguu na lingine karibia Mwenge.