Acha viendelee kuwepo, vitakuja kutumika kuzibia barabara 2030, maana vinashika moto harakaAu mnasubiria mpaka maduka yawe makubwa ndo mje tena mtumie nguvu za ziada kuvunja.
Kwa tusifuate utaratibu kwa kisingizio cha kutafuta helaChukulia mfano wewe ndio hao wenye hivyo vibanda na unahitaji fedha kupata mahitaji yako, je utatumia njia zipi?
Pango pia ni gharama sana. Jumlisha ya mwezi mmoja wa dalali, ni maumivukodi nchini sio rafiki kwa wafanyabiashara ndiyo sababu wanakwepa kodi wanafungua vibanda vya namna hii
kweli hakuna unafuuPango pia ni gharama sana. Jumlisha ya mwezi mmoja wa dalali, ni maumivu
Nilikua nikionaga bei za china na bongo huwa nasema wafanyabiashara wetu wanatupiga sana. Nilivyoingia kwenye biashara mimi mwenyewe nikaelewa vizuri.kweli hakuna unafuu
Na ndiyo maana wafanyabiashara wanaletaga vitu fake toka china ili tu abalance kwenye faida,sio kwamba vitu original havipo hapana ni namna biashara imekua ngumu sana na serikali inachukua tu pasipo kumpa unafaa mfanyabiashara ili aendelee kwenye biasharaNilikua nikionaga bei za china na bongo huwa nasema wafanyabiashara wetu wanatupiga sana. Nilivyoingia kwenye biashara mimi mwenyewe nikaelewa vizuri.
Picha linaanza kodi 600k/month. Halmashauri, tra, ulinzi, ku-import mzigo, gharama zingine za uendeshaji. Nchii ni kama mamlaka zina bifu na wananchi. Kila mwananchi unavyopambana kuinuka jukumu la mamlaka ni kukupiga nyu do ya utosi urudi chini
Asante sana. Ku entertain hili ni kama kuruhusu utetezi wa mwizi anayevunja na kuchukuwa mali eti kuepuka kufa na njaa.Kwa tusifuate utaratibu kwa kisingizio cha kutafuta hela