Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,070
- 10,730
Nimepigiwa simu muda si mrefu kuwa wiki moja baada ya ajali ya meli ya Mv Spice maeneo ya Nungwi Zanzibar vifaa vingi kutoka katika ajali hiyo vimewasili katika fukwe za ukanda wa Tanga.Baadhi ya vitu hivyo ni magunia kwa magunia ya viatu vya maiti.Vyengine ni majokofu,milango na magodoro.
Wako ambao wameokota milango ya thamani na wale waliopata magodoro wameyauza kwa bei nafuu.
Wako ambao wameokota milango ya thamani na wale waliopata magodoro wameyauza kwa bei nafuu.