Nimependa hicho cha shanga nichukuliekuna kaharufu hapa

Nashangaa umeshindwa kunyaza ili unywe hiyo dawa!?
Au hivi ndo umenyamaza??


hiyo ujinga ako umeanza lini??😂usinichonganishe na muuza viatu bure.hiyo ujinga ako umeanza lini??
Shs ngapi kwani anauza?Nimependa hicho cha shanga nichukulie![]()
20kShs ngapi kwani anauza?
Tutachukua huku mtaani au unataka vya jf tu😂?
😂😂Chenga mimi au chenga viatu vya jf?hapa chenga tu
Chenga weweChenga mimi au chenga viatu vya jf?

😂😂hatuaminiani kiasi hicho?😳Chenga wewe![]()
Vinunue basi ili nikuaminihatuaminiani kiasi hicho?
![]()
okay, waitVinunue basi ili nikuamini
Kwa hiyo kama si viatu ni nnViatu viko wapi hapo?
Mwenye mzigo hajui maali alipo yeye nu dalali tuUmeulizwa location, dar kubwa wewe unataka mpaka upigiwe simu kwani ukisema upo tandale au kkoo utapungukiwa nini? Biashara inahitaji nidhamu sana.
Kukaa kimya ni vz piaMwenye mzigo hajui maali alipo yeye nu dalali tu