Viatu vinauzwa karibu

Viatu vinauzwa karibu

Huu mzigo unatumiwa popote
Mjiongeze wamama na wadada
Hi ndiyo fursa kiatu kiko vz...
 
Mzigo upo wa kutosha.
Kuna watu wanasema wanahitaji mzigo mkubwa upo wa kutosha na tunatuma popote mikoani
 
We unataka kwa bei gani..
Kiatu kizuri hicho cha shangaa.
Ni hicho tu kina bei na ni kizuri
Vingine jumla 17elf
Mojamoja 20
Karibu.
Tutaongea kama ni wa jumla
Yeah kuna jinsi fulani bei imekuwa kubwa kwani uko wapi?
 
Upo dar sehemu gani tuje wenyewe
Unataka kuja ununue au sijakuelewa
Kama serios nipigie nikupe ramani
Ya kufika kama ni kuchagua utakuja uchague utoe order ndani ya siku 2
Upate mzigo
 
Nataka kuja kununua weka maelekezo yote hapa
Unataka kuja ununue au sijakuelewa
Kama serios nipigie nikupe ramani
Ya kufika kama ni kuchagua utakuja uchague utoe order ndani ya siku 2
Upate mzigo
 
Samahani sina maelezo mengine zaidi ya hayo nipo dar..bei nimeweka.
No nimeweka.sijajua maelekezo gani tena unayohitaji...sorry
Umeulizwa location, dar kubwa wewe unataka mpaka upigiwe simu kwani ukisema upo tandale au kkoo utapungukiwa nini? Biashara inahitaji nidhamu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom