VETA ya Dodoma wametoa fursa ya mafunzo

VETA ya Dodoma wametoa fursa ya mafunzo

Shivo32

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2023
Posts
345
Reaction score
677
VETA Dodoma wametoa fursa Kwa vijana kusoma fani ya ufundi Bomba wa majunbani na viwandani pia na uchomeleaje.

Fomu mwisho kuchukua ni tar 1 mwez wa 9

Ushauri nikasome ipi hapo yenye Dili mjini?
 
Ni bule kabxaaa,,pia mafunzo ni miezi 2 tu
 
Veta Dodoma wametoa fulsa Kwa vijana kusoma fani ya ufundi Bomba wa majunbani na viwandani pia na uchomeleaje.
Fomu mwisho kuchukua ni tar 1 mwez wa 9

Ushauli nkasomi ipi hapo yenye Dili mjini
Uchomeleaji (welding)
 
Kwedi hiyo fulusa nzulii...ikhikupedeza kasome na madumizi sahihi ya lugha...yaani mwadiko wako ulioadika nimepada mafua ghafla.
 
Kwedi hiyo fulusa nzulii...ikhikupedeza kasome na madumizi sahihi ya lugha...yaani mwadiko wako ulioadika nimepada mafua ghafla.
Kwedi hiyo fulusa nzulii...ikhikupedeza kasome na madumizi sahihi ya lugha...yaani mwadiko wako ulioadika nimepada mafua ghafla.
Duuj
 
Kwedi hiyo fulusa nzulii...ikhikupedeza kasome na madumizi sahihi ya lugha...yaani mwadiko wako ulioadika nimepada mafua ghafla.
U are so funny [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom