Verzuz: Whitney Houston vs. Mariah Carey (Part 3)

Verzuz: Whitney Houston vs. Mariah Carey (Part 3)

Umeskiliza I wanna dance somebody? Au Greatest love? Huyu bimkubwa alikuwa noma
Oooh i wanna dance with somebody, i wanna feel the heat with somebody, ooh i wanna dance with somebody....with somebody who loves me.....

zile beats zinavurugwa unaskia kama kupaa vile[emoji4]
 
My love is your love, i will always love you, if i told you that, when you believe, its not right but its okay, heart break hotel.
Achana kabisaaaaaa na Whitney kuna playlist moja matata sana.
The greatest love of all
I have nothing...
I am saving all my love....
If i could have this kiss forever...
 
Whitney Huston is regarded kama mwanamuziki wa kike mwenye powerful voice na mwenye kipaji kikubwa
Tatizo lake kubwa ambalo huwa lina mpunguzia sana credit ni kudumu kwa muda mfupi kwenye game kabla ya kuangukia kwenye madawa ya kulevya na kupoteza ramani baada ya kuolewa na teja Bob Brown aliyemuingiza kwenye utumiaji wa mihadarati
Kisa chake kinafafa sana na kisa cha Ray C na Lord eyes

Mariah Carey ni fundi wa kuimba mwenye sauti tamu na uwezo mkubwa sana wa kuimba note za juu kabisa za kimuziki kwenye kizazi chake
Amedumu kwenye game kwa muda mrefu sana akitoa albums nyingi ikiwemo za Xmass zilizo mpa mafanikio makubwa sana kimziki

Kwa mtazamo wangu Whitney Huston ni bora zaidi kwa maana ya powerful voice na talent

Mwaka 1998 wakati huo wote wawili wakiwa kwenye ubora wao na mijadala ikiwa mikubwa nani ni bora kati yao......... Baby Face akiwa muimbaji nguli na producer akapata deal la kutengeneza soundtrack ya animation film inaitwa THE PRINCE OF EGYPT, akatumia nafasi hiyo kuwakutanisha wakali hawa na kusuka wimbo unaoitwa WHEN YOU BELIEVE
Verse ya kwanza kasimama Whitney kisha verse ya pili kaisimamia Mariah Carey, bridge wakaimba wote na chorus ya mwisho wakaimba wote

Kwa wanao sikiliza music in DETAILS ukiusikiliza huu wimbo utapata picha nani bora haswa kwenye bridge ya wimbo na chorus ya mwisho kwa jinsi manguli hawa walivyokua wanajibishana kwa ufundi mkubwa kila mmoja akijaribu kuonesha kwamba yeye ni bora
Mariah Carey akibana koo lake ili ku peak high vocal cords wakati huo Whitney akifungua koo ku peak power voice

View attachment 2157751

Huu wimbo ulisababisha ile Animation ya Prince ikaribie kupata Grammy ndipo waliongoza ile project ya wimbo wakaanza kuugombania wimbo. Hatima yake hawakushinda hiyo tuzo

WHITNEY HOUSTON
Aliolewa na Bob Brown wakapata mtoto wa kike aliyekuja kuwa teja hatimaye akafariki anaitwa Bobi Christina. Movie yake aliyoact na Kevin Costner ya Bodyguard iko vizuri mpaka leo
1.I will always love you
2.I believe in you
3.My love is your love
4.Where the broken hearted go
5.Heart break hotel ft Faith Evans
6.I look to you
7. It's not right but it's okay
8. I have nothing
9.Same script, different cast ft Deborah Cox
10.All at once


MARIAH CAREY
Aliolewa na Tommy Motola aliyekuwa CEO wa Sony Music na baadaye Mcheza sinema Nick Cannon
1. I still believe
2. Butterfly
3 Heartbreaker
4.Always be my baby
5.Hero
6.Thank God I found you ft Joe Thomas 98 Degrees
7.Endless love ft Luther Vandross
8.Without you
9.I know what you want feutured by Busta Rhymes
10.One sweet day ft Westlife
 
Honestly, nyie unam-disregard Mariah Carey... Kuna sababu aliwekwa number moja MTV kwa mwanamziki anayejua kuimba zaidi ... Hadi sasa tunaongea anaongoza chart ya Billboard Hot 100 kuwa mwanamziki solo mwenye ngoma zilizoshika namba moja kwenye chart akiwa na ngoma #19, pamoja na yote amevunja rekodi ya msanii wa kike mwenye mauzo mengi kuliko wote, pamoja na nyimbo inayorudia chart kila xmass sana sana katika nafasi ya kwanza ambayo ni 'All I Want For Christmas Is You', amepiga kila genre, Hip Hop, Rnb, Pop, Rock and Roll etc ... Fanyeni research fam.
 
Honestly, nyie unam-disregard Mariah Carey... Kuna sababu aliwekwa number moja MTV kwa mwanamziki anayejua kuimba zaidi ... Hadi sasa tunaongea anaongoza chart ya Billboard Hot 100 kuwa mwanamziki solo mwenye ngoma zilizoshika namba moja kwenye chart akiwa na ngoma #19, pamoja na yote amevunja rekodi ya msanii wa kike mwenye mauzo mengi kuliko wote, pamoja na nyimbo inayorudia chart kila xmass sana sana katika nafasi ya kwanza ambayo ni 'All I Want For Christmas Is You', amepiga kila genre, Hip Hop, Rnb, Pop, Rock and Roll etc ... Fanyeni research fam.
Kuhusu MTV kumtaja hiyo ipo kwenye platforms mbali mbali kila moja ikitaja mwanamziki wake kama ndio bora, zipo pia zilizo mtaja Whitney
Kibongo bongo Manju wa muzi Masoud Masoud humuhusudu sana Whitney kama gwiji na kibongo hupenda sana kumfananisha na Ruby

Kilicho muharibia Whitney ni kushindwa kuhimili FAME na kusababisha kutumika kwa muda mdogo kwenye game akiwa kwenye ubora wake tofauti na Mariah Carey ambaye alikua na discipline iliomfanya kuwa kwenye game kwa muda mrefu sana kwenye game ndio maana ana record bora sana kuanzia tuzo hadi mauzo na nyimbo zake za Xmass zinambeba sasa kila msimu wa Xmass ukifika

Lakini pamoja na hayo yote wanachuana vikali sana kwenye best selling female artist kwenye Billboards kwenye Awards nk, Whitney naye sio mchezo mchezo mkuu
 
  • Thanks
Reactions: YGM
Back
Top Bottom